Deograsius Andrew🇹🇿
BA in Economics(UDSM) | Economic& Political Analyist| I Undisputed thinker | Digital analyst | Nyeupe ni Nyeupe ⚪ Nyeusi ni Nyeusi⚫.| ⓝⓔⓥⓔⓡ ⓢⓣⓞⓟ ⓣⓗⓘⓝⓚⓘⓝⓖ
View on 𝕏Threads
MAKOSA 10 AMBAYO VIJANA WENGI HUYAFANYA NA JINSI YANAVYOWAGHARIMU.! UZI.! Baada ya ukimya mrefu leo turudi kwenye uchambuzi wa kimaisha na nimekuletea mada muhimu kweli kweli ha...
KUTAPELIWA DAR NI SUALA LA MUDA TU. 🙌🏿 Short story. #Thread. Mwaka 2020 kipindi nasoma degree pale Udsm nilikua nafanya biashara ya kuuza simu used online hasa kwenye mda wangu...
NJIA 7 MUHIMU ZA KUPAMBANA NA TATIZO SUGU LA KUTOJIAMINI NA HOFU. UZI. Woga wako ndio umasikini wako. Tatizo la kuhofia na kutojiamini limekuwa sugu sana kwa jamii yetu kwa sas...
TANZANIA IMEPEWA HADHI (RATED) KUWA NCHI YENYE IDR YA B+ ILIYOKADIRIWA NA FITCH NA MOODYS NINI HASA MAANA YAKE.? UZI. (Elekezi) Nimejitahidi kuandika kwa lugha yetu ya taifa i...
FAHAMU JUU YA SIKU YAKO YA MAFANIKIO. UZI. Katika mwaka mzima, Mwezi ama wiki kuna siku moja ambayo ndiyo ya mafanikio yako ambapo ndoto zako zitatimia. Utaijengaje hii siku?, na...
MAFANIKIO NI TABIA. LEO ZIJUE TABIA 10 ZINAZOWEZA KUCHANGIA MAFANIKIO YAKO. "waliofanikiwa wengi wanazo." UZI (muhimu kwa wote wanaohitaji kufanikiwa kwenye mambo mbali mbali.)...
UNATAKA KUWA TAJILI.? "BASI KAPANDE MITI YA MITIKI. NDANI YA MIAKA 10 WEWE NI MILIONEA WA KUTUPWA." Kivipi.? Shuka na Uzi huu na Uretweet uwafikie wengine.! 👇🏿 #Thread. http...
SIRI KUBWA 5 AMBAZO BENKI HAWAWEZI KUKWAAMBIA UKIENDA KUOMBA MKOPO NA JINSI YA KUZIEPUKA. UZI. Usijidanganye kama mkopo ni msaada kama huyajui haya. Utajikuta unalipa hela kubwa...
ANGUKO LA DOLA (Fedha) NA MAANA YAKE KWENYE UCHUMI WA MATAIFA YA AFRIKA. UZI. Zilianza kama hadithi na mabishano. Wapo waliosema itatokea, wengine haitatokea, ila kwa sasa Dola y...
#Mchambuzi_chipukizi TATHIMINI YA UKUAJI WA UCHUMI KATI YA AWAMU YA TANO NA AWAMU YA 6. Je tunasogea, tunarudi nyuma au tupo pale pale.? Je nani kaupiga mwingi zaidi.? (Soma mpa...
MAMBO 10 YANAYO WAANGUSHA UPINZANI KWENYE CHAGUZI MBALIMBALI. UZI.(Siasa) Wengi watasema natafuta attention.,lakini nimeamua kuwaambia ukweli msiotaka kuusikia. Kuna sababu nying...
FAHAMU KAZI MTANDAO ZENYE KIPATO KIZURI UNAZOWEZA KUZIFANYA KWA SIMU YAKO TU. UZI. Imenichukua mda wa zaidi ya miezi miwili kuandaa makala hii. Na kufanya utafiti juu ya kazi hi...