Haki Ngowi

Haki Ngowi

@Hakingowi

๐ŸŒ Official X(Twitter) Page Of Haki Ngowi ยฎ ๐Ÿ’ป๐Ÿ“ฑ Post(Tweets) From Haki Ngowi are signed hn+

Tanzania Joined Dec 2024
146
Threads
0
views
446.6K
Followers
175.6K
Tweets

Threads

"Jeshi la polisi linaendelea na uchunguzi kuhusu askari polisi anayetuhumiwa kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja ikiwemo kufanyiwa kipimo kujiridhisha kama anafanya kitendo hicho...

Wizara ya Maji kupitia Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Mbeya (Mbeya-UWSSA) imesaini mkataba wenye thamani ya shilingi Bilioni 117.5 na mkandarasi kampuni ya China Railway...

๐Ÿ“Dar es Salaam ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ณ Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Stergomena Tax (Mb.) amesaini kitabu cha maombolezo Ubalozi wa Uturuki Jijini Dar es Sala...

Spika wa Bunge Mhe. Dkt. Tulia Ackson, leo Bungeni Jijini Dodoma amefuta katika kumbukumbu rasmi za Bunge (Hansard) kauli iliyotolewa na Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Nchemba kuhusu...

๐Ÿ“Arusha Naibu Waziri,Ofisi ya Rais,Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Deogratius Ndejembi akifungua Kikao Kazi cha 3 cha Serikali Mtandao kinachofanyika katika ukum...

๐Ÿ“IKULU,Zanzibar ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ณ ๐Ÿ‘จ๐Ÿผโ€โš•๏ธ๐Ÿ‘ฉ๐Ÿปโ€โš•๏ธ๐Ÿง‘๐Ÿปโ€โš•๏ธ Rais wa Zanzibar Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema ujio wa madaktari bingwa kutoka China ni fursa adhimu kuimarisha sekta ya Afya Zanzibar. ๐Ÿ“น:...

๐Ÿ“Dodoma Naibu Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari,Mhandisi Kundo Matthew akikabidhi vyeti vya ushindi pamoja na zawadi kwa wanafunzi 4 walioibuka kidedea kwenye...

๐Ÿ“Dodoma Ili kuwezesha upatikanaji wa huduma za ukadiriaji kodi kwa wakati serikali imeagiza Ofisi zote za ardhi nchini kutoa huduma siku zote za juma hadi mwisho wa mwezi aprili....

๐Ÿ“Dar es Salaam ๐Ÿฅ๐Ÿ‘ฉ๐Ÿพโ€โš•๏ธ๐Ÿ‘จ๐Ÿฝโ€โš•๏ธ Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk.Hussein Ali Mwinyi amesema Kituo cha Huduma za Upandikizaji Mimba Kairuki Green IVF, Bunju...

๐Ÿ“Dar es Salaam ๐Ÿข:TCRA HQ Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania(TCRA)Dkt.Jabiri Bakari akitoa wasilisho kuhusu majukumu ya utendaji wa TCRA,idara na vitengo vyake kwa...

MJUMBE wa Kamati Kuu ya CCM)l Taifa, Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan inaendelea kuwatumikia w...

Waganga wafawidhi wa vituo vya kutolea huduma za afya nchini wamehimizwa kufanya usimamizi wa afya shirikishi (Cascade Supervision) kwa zahanati zinazowazunguka ili kuziongezea n...