-Nilikua natoa wapi hela zote hizo wkt bado ni mdogo (Uzi wa siku nyingine)
-Niliwezaje kumanage biashara wkt ni mwanafunzi (Uzi wa siku nyingine)
Loss ya mpunga ilikua ni 1 ya hasara nyingi nilizopata 2016, ikiwemo kutapeliwa broilers 6300 weny thaman ya 34M (uzi wa siku nyngn
-Niliwezaje kumanage biashara wkt ni mwanafunzi (Uzi wa siku nyingine)
Loss ya mpunga ilikua ni 1 ya hasara nyingi nilizopata 2016, ikiwemo kutapeliwa broilers 6300 weny thaman ya 34M (uzi wa siku nyngn
Baada ya hayo matukio ya 2016 nilikua broke vby mno. Huu mwaka nilijifunza vitu vingi sana, elimu niliyoipata nikaona hata elimu ya darasani haina content, nikaDrop out wiki 3 kabla ya UE ya mwisho
The next year 2017 sikufanya sana kilimo, lkn I was still in touch.
The next year 2017 sikufanya sana kilimo, lkn I was still in touch.
MAPATO:
Kwa mbegu ninayoitumia msimu wa mwaka jana nimevuna kwa heka 'on average' gunia 16, msimu huu nimevuna gunia 17
Kuna wanaovuna hadi gunia 23, na kuna wanaovuna hadi gunia 13
i) Ukiuza shambani mwaka huu bei ni 50K. Kwa heka ningepata 850K, faida 368K
Kwa mbegu ninayoitumia msimu wa mwaka jana nimevuna kwa heka 'on average' gunia 16, msimu huu nimevuna gunia 17
Kuna wanaovuna hadi gunia 23, na kuna wanaovuna hadi gunia 13
i) Ukiuza shambani mwaka huu bei ni 50K. Kwa heka ningepata 850K, faida 368K
ii) Ukihifadhi na kuuza kuanzia late Nov - April bei hua inafika hadi 105K. Kwa heka inaweza kuwa 1,785,000, faida ni 1.3M
Msimu huu umekua wa neema sana, mavuno yamekubali so scarcity ya mpunga/mchele inawesa kuwa chini, so the price. Nategemea iwe 90K kwa gunia at peak
Msimu huu umekua wa neema sana, mavuno yamekubali so scarcity ya mpunga/mchele inawesa kuwa chini, so the price. Nategemea iwe 90K kwa gunia at peak
CHANGAMOTO
1. Kilimo chochote ni 'arbitrage' kwa lugha nyepesi tuseme kamari. Mvua isiponyesha unaliwa kichwa, mvua zikizidi unaliwa kichwa, mvua baada ya mavuno unaliwa kichwa
2. Nguvu kazi. Fanya ufanyavyo ila hawa jamaa lazima wakutese tu
3. Usimamizi. (Uzi wa siku nyingin
1. Kilimo chochote ni 'arbitrage' kwa lugha nyepesi tuseme kamari. Mvua isiponyesha unaliwa kichwa, mvua zikizidi unaliwa kichwa, mvua baada ya mavuno unaliwa kichwa
2. Nguvu kazi. Fanya ufanyavyo ila hawa jamaa lazima wakutese tu
3. Usimamizi. (Uzi wa siku nyingin
4. Nguruwe pori. Tunapambana nao wote, so ulinzi wa shamba lazima uwe makini
5. Price fluctuations. Bei ya mazao haitulii, inaweza kukunyanyasa ama kukunyanyua. Mwaka ambao sikulima 2017 watu waliuza gunia 80,000 shambani
6. Changamoto zingine ni za mtu binafsi. Zinazozuilika
5. Price fluctuations. Bei ya mazao haitulii, inaweza kukunyanyasa ama kukunyanyua. Mwaka ambao sikulima 2017 watu waliuza gunia 80,000 shambani
6. Changamoto zingine ni za mtu binafsi. Zinazozuilika
Loading suggestions...