PUTIN ANAVYOPINDUA VIONGOZI WA AFRIKA KUJIIMARISHA
#UZI:
💨Rais Alpha Conde (Guinea) alipinduliwa kwa msaada wa USA & Ufaransa, lkn kwa ASSIMI GOÏTA (Mali) alisaidiwa na Urusi.Pia mauaji ya IDRIS DÉBY (Chad) yalifanywa na URUSI
👩💻𝐌𝐚𝐦𝐛𝐨 𝐌𝐚𝐳𝐢𝐭𝐨 𝐓𝐮𝐬𝐢𝐲𝐨𝐲𝐚𝐣𝐮𝐚👇
#UZI:
💨Rais Alpha Conde (Guinea) alipinduliwa kwa msaada wa USA & Ufaransa, lkn kwa ASSIMI GOÏTA (Mali) alisaidiwa na Urusi.Pia mauaji ya IDRIS DÉBY (Chad) yalifanywa na URUSI
👩💻𝐌𝐚𝐦𝐛𝐨 𝐌𝐚𝐳𝐢𝐭𝐨 𝐓𝐮𝐬𝐢𝐲𝐨𝐲𝐚𝐣𝐮𝐚👇
#Naam...!!!
Siku hiyo watu fulani hawakutaka kuondoka ili wahudumu wafunge.
Kanali VASSILI, mutu ya pamba kali, Mzee wa kuwaka na mvuvi wa watoto wazuri mjini kama @BarakaSaimon3, basi naye alialikwa ktk sherehe hiyo na alikuwa ametupia nguo za kiraia ukimuona huwezi kumjua.
Siku hiyo watu fulani hawakutaka kuondoka ili wahudumu wafunge.
Kanali VASSILI, mutu ya pamba kali, Mzee wa kuwaka na mvuvi wa watoto wazuri mjini kama @BarakaSaimon3, basi naye alialikwa ktk sherehe hiyo na alikuwa ametupia nguo za kiraia ukimuona huwezi kumjua.
KANALI VASSILI NI NANI?
#Inshort:Ni kijana mdogo raia wa Urusi, anapenda sana raha, pombe kwake ni kama maji tu.Unaambiwa pia mara nyingi akiwa na gari lake la kivita ndani ya mitaa ya jiji hilo, hujiona km yupo Moscow
Yaani huwa hajali sana vizuizi vya traffic akiwa barabarani
#Inshort:Ni kijana mdogo raia wa Urusi, anapenda sana raha, pombe kwake ni kama maji tu.Unaambiwa pia mara nyingi akiwa na gari lake la kivita ndani ya mitaa ya jiji hilo, hujiona km yupo Moscow
Yaani huwa hajali sana vizuizi vya traffic akiwa barabarani
Hii ni masaa kumi na moja nyuma kabla ya hizi sherehe hizi ulizoona Kanali VASSILI raia wa Urusi, MTU wa karibu sana na Rais TOUADÉRA wa Afrika ya Kati anayeogopeka Jijini Bangui alikuwa amealikwa👇
Tuendeleee sasa
KIREFU CHA "FACT" NI NINI?📌
📡#FACT = Front pour l’Alternance et la Concorde au Tchad (Kifaransa) au Kiingereza ➠ "Front for Change and Concord in Chad"
📡Unaweza kutizama hapa chini muundo, mapambano na viongozi wake, ukimaliza njoo nikupeleke VITANI...!!👇
KIREFU CHA "FACT" NI NINI?📌
📡#FACT = Front pour l’Alternance et la Concorde au Tchad (Kifaransa) au Kiingereza ➠ "Front for Change and Concord in Chad"
📡Unaweza kutizama hapa chini muundo, mapambano na viongozi wake, ukimaliza njoo nikupeleke VITANI...!!👇
Mwanae MAHAMAT IDRISS DÉBY @GmahamatIdi, aka "Kaka" ambaye sasa ndio Rais wa mpito wa Chad pamoja na kipenzi cha moyo wake 1stLady Bibie HINDA DÉBY ITNO @HindaDebyItno walibaki kumsubili Ikulu.
Wkt huo Majenerali TAHER ERDA & MAHAMAT CHARFADINE ABDELKERIM wakiwa wameshatangulia.
Wkt huo Majenerali TAHER ERDA & MAHAMAT CHARFADINE ABDELKERIM wakiwa wameshatangulia.
#Convoy ya Rais DÉBY ilikuwa inaelekea Mjini Mao, ambapo kikosi cha wanajeshi karibu 3,000 kilikuwa kimeweka kambi kilomita chache nje ya mji huo wakimsubilia
📸Wakiwa njiani giza likiwa limeshaingia, alisimamisha msafari kusikilizia hali na maendelea ya mapambano huko anakoenda
📸Wakiwa njiani giza likiwa limeshaingia, alisimamisha msafari kusikilizia hali na maendelea ya mapambano huko anakoenda
#Marshall IDI aliingia, na kuomba kuonyeshwa mchoro mzima jinsi maadui wake walivyoweka kambi.
💨Kisha akahamasisha jeshi lake.
💥Waliokuwa mbele waliposikia naye ameingia vitani, walipata moyo wakaongeza mapambano, unaambiwa waasi walikiona cha moto mpk wakarudi 4.6Km nyuma.
💨Kisha akahamasisha jeshi lake.
💥Waliokuwa mbele waliposikia naye ameingia vitani, walipata moyo wakaongeza mapambano, unaambiwa waasi walikiona cha moto mpk wakarudi 4.6Km nyuma.
🚔Ikabidi kijana wake aliyebaki Ikulu @GmahamatIdi aje kuongeza nguvu, huku msaada mwingine ukitoka Jeshi la Ufaransa wakawasambaratisha wakarudi nyuma!!
Ufaransa wao walijikita ku📡track kambi za kikundi cha FACT kwa kutumia Rada za angani na kuwambia jeshi wa Chad.
Tizama..👇
Ufaransa wao walijikita ku📡track kambi za kikundi cha FACT kwa kutumia Rada za angani na kuwambia jeshi wa Chad.
Tizama..👇
Kumbe, wapiganaji wa FACT walivyorudi nyuma walikwenda kujipanga.
Mercenaries kutoka kampuni ya #Wagner ndipo waliingia vitani rasmi.
Mapigano makali tena zaidi ya mwanzo yakaanza mpk viongozi wa jeshi waliokuwa mstari wa mbele walipata hofu ya kuzidiwa. Wakaanza kurudi nyuma!!
Mercenaries kutoka kampuni ya #Wagner ndipo waliingia vitani rasmi.
Mapigano makali tena zaidi ya mwanzo yakaanza mpk viongozi wa jeshi waliokuwa mstari wa mbele walipata hofu ya kuzidiwa. Wakaanza kurudi nyuma!!
Licha ya kufariki haikuwekwa wazi bado. Kikao cha dharula kikaketi. Lengo ni kupanga namna ya address msiba na nani anaenda kushika nchi.
Hata kijana wake @GmahamatIDi hakuambiwa..!!
Usiku ule ule APRIL 17, mwili wa Marshall IDI ulichukuliwa na Helicopter na kupelekwa Ikulu.
Hata kijana wake @GmahamatIDi hakuambiwa..!!
Usiku ule ule APRIL 17, mwili wa Marshall IDI ulichukuliwa na Helicopter na kupelekwa Ikulu.
Kijana @GmahamatIdi aliitwa arudi Ikulu, wkt huo Tume ya Uchaguzi ikisubiliwa ijumlishe matokeo angalau ¾ ya vituo vyote.
Lkn kulikuwa na ugumu wa kurudi kw7bu bado wanajeshi walikuwa vitani kule NOUKOU ikabidi wampe taarifa akiwa huko huko, lkn mke wake Rais DÉBY hawakuambiwa.
Lkn kulikuwa na ugumu wa kurudi kw7bu bado wanajeshi walikuwa vitani kule NOUKOU ikabidi wampe taarifa akiwa huko huko, lkn mke wake Rais DÉBY hawakuambiwa.
Mchana huo @GmahamatIdi alirudi N'Djamena.
Majadiliano yalianza kuhusu kpnd cha mpito, ambapo baadhi ya maafisa wa ngazi za juu na watu wa ukoo wa Zaghawa walitaka waongoze nchi, lkn baadaye makubaliano yalifikiwa kuwa Baraza la Mpito la Kijeshi liundwe litaloongozwa na yeye.
Majadiliano yalianza kuhusu kpnd cha mpito, ambapo baadhi ya maafisa wa ngazi za juu na watu wa ukoo wa Zaghawa walitaka waongoze nchi, lkn baadaye makubaliano yalifikiwa kuwa Baraza la Mpito la Kijeshi liundwe litaloongozwa na yeye.
Majira ya saa 03 Usiku, Tume Ya Uchaguzi, ambayo pengine wajumbe wake hawakujulishwa kuhusiana na kifo hicho na kilipangwa kitangazwe kesho yake mida ya saa 5 Asubuhi, ilitangaza matokeo ya Uchaguzi wa Rais, kuwa IDRISS DÉBY ITNO ameshinda kwa 79.32% ya kura.
Kwasababu kila kitu kilikuwa planned hawakutaka kurahikisha
📡Mnamo April 20, 2021 SAA 11:18 alfajiri Jumanne kupitia runinga ya taifa (Tv Chad) ndio kifo cha Rais DÉBY kilitangazwa. Ht Media nyingi mfano @bbcswahili, @VOAAfrica na huku kwetu zilitangaza kifo hicho asubuhi hiyo.
📡Mnamo April 20, 2021 SAA 11:18 alfajiri Jumanne kupitia runinga ya taifa (Tv Chad) ndio kifo cha Rais DÉBY kilitangazwa. Ht Media nyingi mfano @bbcswahili, @VOAAfrica na huku kwetu zilitangaza kifo hicho asubuhi hiyo.
💨Ukilinganisha na Rais DÉBY alikuwa ni Muislamu na kufariki siku 03 Tatu nyuma ndio maana ilipangwa hata kama matokeo hayajatangazwa kesho yake saa 05 kifo chake kitangazwe.
Sasa wakashtukizwa Matokeo ikabidi wasubili ili watangaze alijeruhiwa jana yake ila Mungu kampenda zaidi
Sasa wakashtukizwa Matokeo ikabidi wasubili ili watangaze alijeruhiwa jana yake ila Mungu kampenda zaidi
Kulikuwa na uwezekano wa mwili kutunzwa siku 05 kwa ajili ya kuagwa lkn Tyr una siku 03 nyuma + hizo walizotangaza kuuzika JUMLA siku zinafika 07 hivyo isingewezekana wazidishe hapo.
KIFO chake kilitekelezwa na #Wagner nitaelezea mbele kwa undani
💨BILA SHAKA UMEPATA CHOCHOTE?
KIFO chake kilitekelezwa na #Wagner nitaelezea mbele kwa undani
💨BILA SHAKA UMEPATA CHOCHOTE?
Hivyo ndio alivyouawa IDRISS DÉBY ITNO aka Marshall IDI.
Sahivi mtoto wake ndio kashikilia nchi ya Chadi.
Lkn Familia hiyo inaendesha kampuni mbalimbali za serikali ikiwemo Société des Hydrocarbures du Tchad (SHT) inayozalisha mafuta na @GmahamatIdi ndiyo CEO since 2019!!
Sahivi mtoto wake ndio kashikilia nchi ya Chadi.
Lkn Familia hiyo inaendesha kampuni mbalimbali za serikali ikiwemo Société des Hydrocarbures du Tchad (SHT) inayozalisha mafuta na @GmahamatIdi ndiyo CEO since 2019!!
Tuendelesee
#WAGNER ni kampuni isiyo rasmi inayojihusisha na ulinzi binafsi yenye uhusiano wa karibu sana na Rais VLADIMIR PUTIN wa Urusi.
Kampuni hii imesambaa Mashariki ya Kati, America & Afrika.
Headquarters kwa Afrika ni SUDAN
Lkn inajificha ktk utoaji mafunzo na ulinzi📌
#WAGNER ni kampuni isiyo rasmi inayojihusisha na ulinzi binafsi yenye uhusiano wa karibu sana na Rais VLADIMIR PUTIN wa Urusi.
Kampuni hii imesambaa Mashariki ya Kati, America & Afrika.
Headquarters kwa Afrika ni SUDAN
Lkn inajificha ktk utoaji mafunzo na ulinzi📌
Ktk uchunguzi nilioufanya nimepata siri mbili na nitachimba kwa Afrik mtandao mzima (footprints)
Hivyo ndio maana ndani ya #Uzi huu umeona nimeanzia huko kugusia operation za siri ilizofanya, lkn nitaangazia PESA waliyonayo na mtandao wao nje ya nchi & unavyotekeleza mission
Hivyo ndio maana ndani ya #Uzi huu umeona nimeanzia huko kugusia operation za siri ilizofanya, lkn nitaangazia PESA waliyonayo na mtandao wao nje ya nchi & unavyotekeleza mission
Hivyo Urusi ilipiga kura ya 'veto' kupinga suala hilo.
NAJUA unajiuliza 'KALASHNIKOV' ni nini?
#KALASHNIKOV ni bunduki almaarufu sana #AK-47.
Ilibuniwa na mvumbuzi raia wa Urusi anayeitwa MIKHAIL KALASHNIKOV. Kuna matoleo tofauti ya bunduki hizo.
NAJUA unajiuliza 'KALASHNIKOV' ni nini?
#KALASHNIKOV ni bunduki almaarufu sana #AK-47.
Ilibuniwa na mvumbuzi raia wa Urusi anayeitwa MIKHAIL KALASHNIKOV. Kuna matoleo tofauti ya bunduki hizo.
ILA zamani zilitengenezwa nchi za Kisovyeti pekee. Kwa sasa zinatengenezwa nchi nyingi duniani.
#Inshort:Kutokana na madhara ya WWII, Jeshi la USSR liliamua kutengeneza bunduki mpya ambayo inaweza kufyatua risasi moja-moja kwa wingi mithili ya bunduki za rasharasha (Gatling).
#Inshort:Kutokana na madhara ya WWII, Jeshi la USSR liliamua kutengeneza bunduki mpya ambayo inaweza kufyatua risasi moja-moja kwa wingi mithili ya bunduki za rasharasha (Gatling).
Kifupi cha #AK-47
AK-47 = "Avtomat Kalashnikov 1947"
Kwa Lugha huko = "Автомат Калашникова складной образца 1947 года".
Ni bunduki ambayo ni hatari sana. Inasemeka imeondoa maisha wanadamu wengi kuliko silaha yeyote na inafanya kazi vizuri ktk mazingira yote. Imesambaa sana
AK-47 = "Avtomat Kalashnikov 1947"
Kwa Lugha huko = "Автомат Калашникова складной образца 1947 года".
Ni bunduki ambayo ni hatari sana. Inasemeka imeondoa maisha wanadamu wengi kuliko silaha yeyote na inafanya kazi vizuri ktk mazingira yote. Imesambaa sana
Baadae serikali ya Urusi ilikubali kuondoa kura ya turufu (veto) ndipo ikatumia fursa hiyo kuleta kampuni hii ya #Wagner nchini Afrika ya Kati.
Waziri LAVROV alipendekeza makubaliano ambayo yaliongeza ugumu zaidi wa kuondoa kwa urahisi hiyo kura ya turufu au unaweza kuita Veto.
Waziri LAVROV alipendekeza makubaliano ambayo yaliongeza ugumu zaidi wa kuondoa kwa urahisi hiyo kura ya turufu au unaweza kuita Veto.
📸Kwahiyo URUSI imejikitia mizizi Africa kupiti #wagner na inaendelea kujitanua na sio CENTRAL AFRICA pekee Wapo pia.....👇
📡 Sudan
📡 Guinea
📡 Guinea-Bissau
📡 DRC- Congo
📡 Libya
📡 Zimbabwe
📡 Madagascar
📡 Rwanda
📡 Botswana
📡 Lesotho
📡 E-swatin
📡 Msumbiji
📡 Sudan
📡 Guinea
📡 Guinea-Bissau
📡 DRC- Congo
📡 Libya
📡 Zimbabwe
📡 Madagascar
📡 Rwanda
📡 Botswana
📡 Lesotho
📡 E-swatin
📡 Msumbiji
📌Je! Kuna uhusiano gani kati ya SEWA SECURITY SERVICES, LOBAYE INVEST na kampuni ya #WAGNER & Rais PUTIN?
💨Pesa walizonazo
💨Mauaji (ukiwafuatilia)
💨Migodi ya Uranium (Africa)
💨Mapigano na Waasi (CPC)
💨Mizizi (Rwanda, Mali, Botswana nk)
📡Inaendelea
RT🔄 Follow @Eng_Matarra
💨Pesa walizonazo
💨Mauaji (ukiwafuatilia)
💨Migodi ya Uranium (Africa)
💨Mapigano na Waasi (CPC)
💨Mizizi (Rwanda, Mali, Botswana nk)
📡Inaendelea
RT🔄 Follow @Eng_Matarra
KUNA UHUSIANO GANI kati Ya KAMPUNI hizo & WAGNER?📌
#Iko hivi, Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Lobaye, anaitwa YEVGENY KHODOTOV ni mtu ambaye hapendi sana kujionyesha ktk vyombo vya habari nchini humo.
KHODOTOV ana miaka 57 na alikuwa Afisa Polisi huko St. Petersburg nchini URUSI
#Iko hivi, Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Lobaye, anaitwa YEVGENY KHODOTOV ni mtu ambaye hapendi sana kujionyesha ktk vyombo vya habari nchini humo.
KHODOTOV ana miaka 57 na alikuwa Afisa Polisi huko St. Petersburg nchini URUSI
Bosi huyu wa zamani wa Fast food kama bibie @amina_hafidh alipata utajiri wake kwa kuuza vitafunio aina ya 'Hot dogs', aliwahi kuhukumiwa kwa ulaghai na kujihusisha na masuala ya ukahaba mnamo 1981, lkn miaka 09 baadaye aliachiliwa huru.
Anafahamika sana kama PUTIN'S CHEF.
Anafahamika sana kama PUTIN'S CHEF.
Kwahiyo tajiri YEVGENY PRIGOZHIN ndiye mfadhili mkuu wa kampuni ya #Wagner, iliyoanzishwa kati ya 20132014 na mara nyingi amekuwa akihusishwa na jamaa yake Luteni Kanali DMITRY UTKIN, aliyekuwa mpatanishi wa mfuasi wa siasa za Kinazi na mkuu wa Special Forces na GRU.
Wasiwasi uliongezeka sana baada ya ZAKHAROV kuonekana akiwaita baadhi ya mawaziri na kuzungumza nao nje ya mji kwa kivuli cha Mshauri wa Rais + kupatiwa ulinzi na walinzi kutoka SEWA SECURITY.
Baada ya Ufaransa kuona hivyo, licha kuwa na historia ndefu na nchi hii, #ILIJIONDOA!!
Baada ya Ufaransa kuona hivyo, licha kuwa na historia ndefu na nchi hii, #ILIJIONDOA!!
Mnamo Agosti 2018, kulifanyika mkutano mkubwa wa wadau wa madini na ulisimamiwa na Luteni Jenerali JAMAL ALDIN OMAR na viongozi wa #Wagner walialikwa.
Baada ya miezi kadhaa, vikosi vya OMAR viliwasiliana na viongozi waasi wa Africa ya Kati akiwemo NOUREDDINE ADAM na ALI DARASSA.
Baada ya miezi kadhaa, vikosi vya OMAR viliwasiliana na viongozi waasi wa Africa ya Kati akiwemo NOUREDDINE ADAM na ALI DARASSA.
Baadae zilionekana Helikopta kadhaa zikifanya safari kati ya SUDAN na AFRIKA Ya KATI
#ForYou:Ktk mkutano ule, Lt Gen. OMAR alipendekeza Afrika ya Kati, kufanya mazungumzo na viongozi wa waasi kuleta amani ktk biashara wanayotaka kuifanya na Morocco iliunga mkono pendekezo hilo.
#ForYou:Ktk mkutano ule, Lt Gen. OMAR alipendekeza Afrika ya Kati, kufanya mazungumzo na viongozi wa waasi kuleta amani ktk biashara wanayotaka kuifanya na Morocco iliunga mkono pendekezo hilo.
Suluhu ilikuwa inatafutwa kwa sababu waasi walikuwa vimeshikilia maeneo mengi yenye migodi mikubwa ya madini
#Wagner target yao ni madini ya Uraniam na Almasi inayopatikana kwa wingu nchini humo. Lkn pia kule Morocco wamefungua kambi ya mafunzo ya jeshi kwa vikosi vya nchi hiyo.
#Wagner target yao ni madini ya Uraniam na Almasi inayopatikana kwa wingu nchini humo. Lkn pia kule Morocco wamefungua kambi ya mafunzo ya jeshi kwa vikosi vya nchi hiyo.
#WAGNER ndio wako nyuma ya wanaoendesha hizo kampuni 03:
📡M-Finance,
📡M-Invest &
📡Meroe Gold.
📌Hii ya mwisho ndio inayoendesha migodi nchini humo
M-INVEST & M-FINANCE km ilivyo Africa ya Kati, zimeunganishwa na Concord kupitia kampuni ya MEGALITE ambayo pia ni ya PRIGOZHIN.
📡M-Finance,
📡M-Invest &
📡Meroe Gold.
📌Hii ya mwisho ndio inayoendesha migodi nchini humo
M-INVEST & M-FINANCE km ilivyo Africa ya Kati, zimeunganishwa na Concord kupitia kampuni ya MEGALITE ambayo pia ni ya PRIGOZHIN.
KHODOTOV ndiye amefungua hizo kampuni huko Sudan na kumweka mtu wake kutoka Urusi aitwaye MIKHAÏL POTEPKIN (@M_potepkin) kuwa Mkurugenzi.
Hapa chini 👇 unaweza kuona kwa namna gani anavyohusiana kutokana na muingiliano na kampuni kivuli zilizofunguliwa.
Hapa chini 👇 unaweza kuona kwa namna gani anavyohusiana kutokana na muingiliano na kampuni kivuli zilizofunguliwa.
Mnamo Agosti 2018, MIKHAÏL (@M_potepkin), alionekana ktk Ofisi makao makuu ya Jeshi mjini Khartoum.
Inasemekana popote alipooneka ktk mji huo, alikuwa na walinzi wasiovaa sare wasiopungua 10. Pia akisafiri na ndege nchini humo, husindikizwa ndege zingine 2 kwa usalama wake.
Inasemekana popote alipooneka ktk mji huo, alikuwa na walinzi wasiovaa sare wasiopungua 10. Pia akisafiri na ndege nchini humo, husindikizwa ndege zingine 2 kwa usalama wake.
Mnamo Feb 05, 2019, kulifanyika Mkutano wa makubaliano ya amani yaliyoitwa 'Khartoum Agreement', na Rais TOUADÉRA, FIRMIN NGRÉBADA (W/Mkuu), MARIE-NOËLLE KOYARA (W/Ulinzi) na viongozi wa waasi kwa pamoja walitia saini chini ya SMAIL CHERGUI (@AU_Chergui) Kamishna wa Amani wa AU.
Baada ya makubaliano mwakilishi wa Urusi na kampuni hiyo, walibakia Central Africa na #Wagner ikaendelea kuwa na nguvu zaidi.
📡Waliimarisha uhusiano wao na Rais Touadéra na waziri mkuu Ngrébada, huku wakijitangaza ktk mataifa ya nje kwamba, wamefaulu ambapo wengine wameshindwa.
📡Waliimarisha uhusiano wao na Rais Touadéra na waziri mkuu Ngrébada, huku wakijitangaza ktk mataifa ya nje kwamba, wamefaulu ambapo wengine wameshindwa.
📜OFISI hiyo inachofanya ni kuchapisha habari zinazoonyesha baadhi ya wanasiasa ni maadui wa serikali kwa shutma mbalimbali
Aka #MUSIBA wa Afrika ya Kati👆
Kampuni ya LOBAYE imepanua shughuli zake za madini na kuongeza wafanyakazi & Wagner iliendelea kuwa na ushawishi serikalin
Aka #MUSIBA wa Afrika ya Kati👆
Kampuni ya LOBAYE imepanua shughuli zake za madini na kuongeza wafanyakazi & Wagner iliendelea kuwa na ushawishi serikalin
#HIVYO, tangu Desemba 2020 mpk Januari na Februari mwaka huu, vikosi vya SEWA SECURITY vimekuwa vikipigana na kikundi cha CPC, ambao baada ya kushindwa kuudhibiti mji mkuu wa Bangui walikimbilia maeneo ya mipakani.
ZAKHAROV alitangaza rasmi vita na CPC mnamo Februari 11, 2021.
ZAKHAROV alitangaza rasmi vita na CPC mnamo Februari 11, 2021.
Kuanzia hapo #Wagner ikawa na udhibiti wa serikali. Makao makuu yao yapo Berengo Camp, tangu April 2018, ilipoingia nchini humo.
Maamuzi yeyote yanayotolewa na Rais kwanza lazima yawafikie WAGNER kisha hutumwa Urusi kupitia mwakilishi wao Gen. OLEG POLGUEV kabla ya kutangazwa.
Maamuzi yeyote yanayotolewa na Rais kwanza lazima yawafikie WAGNER kisha hutumwa Urusi kupitia mwakilishi wao Gen. OLEG POLGUEV kabla ya kutangazwa.
Eneo hilo la mjini Bangui wanalokaa zamani lilikuwa chini ya udhibiti wa Ofisi ya wizara ya ulinzi ILA sahv linalindwa usiku na mchana na wanajeshi wa Urusi.
#ForYou: JEAN-BÉDEL BOKASSA alimpindua mwasisi wa taifa hilo DAVID DACKO mnamo 1965.
#ForYou: JEAN-BÉDEL BOKASSA alimpindua mwasisi wa taifa hilo DAVID DACKO mnamo 1965.
WAGNER imesambaa sehemu nyingi.
#Mfano; ipo Yawa na Ndassima huko Ouaka, ambapo kuna mgodi wa dhahabu unaotegemewa nchini, na unaendeshwa na MIDAS RESOURCES yenye uhusiano na Urusi. Pia ktk Kambi ya Roux kuna helikopta 17 bila kujumuisha ndege za Antanov zinazotua Mpangu Airport
#Mfano; ipo Yawa na Ndassima huko Ouaka, ambapo kuna mgodi wa dhahabu unaotegemewa nchini, na unaendeshwa na MIDAS RESOURCES yenye uhusiano na Urusi. Pia ktk Kambi ya Roux kuna helikopta 17 bila kujumuisha ndege za Antanov zinazotua Mpangu Airport
#Inavyoonekana kuachia nchi hiyo sio leo kwa sababu jumla ya vikundi vya waasi anavyongoza FRANCOIS BOZIZÉ vipo 18, kwa pamoja ndio huunda CPC.
Unaweza kutizama hapa uone jinsi vikundi hivi vya waasi vilivyoungana..⇊⇓⇓⇓👇
Unaweza kutizama hapa uone jinsi vikundi hivi vya waasi vilivyoungana..⇊⇓⇓⇓👇
Tumeshaona #Wagner ilivyo na uhusiano na Rais Vladimr Putin. Wameshamuua Rais Deby (Chad) wameshaidhibiti Sudan & Central Africa
📡Mei 14 kilitokea nini?
📡Wamehamia nchi nyingine, ni ipi hiyo?
Kwa #muendelezo huu
💨Easy Do It👇
RT 🔄 this Thread & Follow me @Eng_Matarra🙏
📡Mei 14 kilitokea nini?
📡Wamehamia nchi nyingine, ni ipi hiyo?
Kwa #muendelezo huu
💨Easy Do It👇
RT 🔄 this Thread & Follow me @Eng_Matarra🙏
Filamu iliangazia matukio ya vitani, ambapo upande mmoja Warusi waliigiza km Waasi. Silaha zilizotumika sana ni bunduki aina ya Kalashnikov (AK-47) na baadae askari mmoja aliyekuwa amejeruhiwa anaibuka shujaa ktk Vita huku akiwa amekamilisha mission yake.
Mnamo 2014, IRA ndio ilikuza mgogoro wkt wa vita nchini Ukraine na kupendelea vitendo vya mauaji vilivyokuwa vikifanywa na majeshi ya Urusi.
Miaka miwili baadaye (2016), kilichangia @Trump kuingia Ikulu na kufanya vichwa vya habari kwenye media mbalimbali kutikisa dunia.
Miaka miwili baadaye (2016), kilichangia @Trump kuingia Ikulu na kufanya vichwa vya habari kwenye media mbalimbali kutikisa dunia.
Ndio hao hao walipelekea FBI kutangaza kuwa Tajiri PRIGOZHIN ni "most wanted", kwa shutma za kuingilia uchaguzi Marekani.
Pia ndio wamechangia mgogoro wa rais BASHAR AL-ASSAD wa Syria, pamoja + uongo huko Brexit.
#Inshort:IRA wanaeneza ujumbe wowote ambao bosi wao anataka.
Pia ndio wamechangia mgogoro wa rais BASHAR AL-ASSAD wa Syria, pamoja + uongo huko Brexit.
#Inshort:IRA wanaeneza ujumbe wowote ambao bosi wao anataka.
Ktk kufanikisha hilo PUTIN hujiimarisha na kiongozi yeyote asiyeendana na yeye huondolewa madarakani.
#Mfn;Okt 23 & 24, 2020, aliandaa mkutano mkubwa (Sochi Summit) na viongozi wa Afrika, ambao ulifanyika Black Sea.
Ktk mkutano huo alitumia wake kuziyaponda mataifa ya magharibi.
#Mfn;Okt 23 & 24, 2020, aliandaa mkutano mkubwa (Sochi Summit) na viongozi wa Afrika, ambao ulifanyika Black Sea.
Ktk mkutano huo alitumia wake kuziyaponda mataifa ya magharibi.
Rais Putin alionyesha mipango yake ktk nchi za Afrika, kuwa yupo tyr kuisaidia Afrika ktk masuala mbalimbali ikiwemo biashara na mambo mengine
Mara baada ya mkutano huo kumalizika @Facebook ilitangaza kuwa itavunja mikataba na mitandao yenye inayomiliki na raia wa URUSI ambayo..
Mara baada ya mkutano huo kumalizika @Facebook ilitangaza kuwa itavunja mikataba na mitandao yenye inayomiliki na raia wa URUSI ambayo..
#Sababu ilitokana na mifumo ya mitandao inayomilikiwa na Urusi kutumika kwa manufaa nje ya lengo la kanuni na taratibu za habari. IRA ina wadukuzi (hackers) zaidi ya 4300...
..ambao husaidiwa na wafanyakazi wa mashirika ya mawasiliano ya umma kutoka nchi mbalimbali.
..ambao husaidiwa na wafanyakazi wa mashirika ya mawasiliano ya umma kutoka nchi mbalimbali.
“They typically posted global and local political information, including topics such as Russian politics in Africa, elections in Madagascar and Mozambique, election monitoring by a local non-governmental organisation and criticism of French and US politics,” ~ @Facebook
Mnamo Desemba 2020, PALO ALTO ilitangaza kuwa itavunjia mikataba na mitandao yote ya Urusi na Ufaransa, ambayo inafanya udanganyifu ktk nchi kadhaa za Afrika hasa Jamhuri ya Afrika ya Kati (CAR). Wkt huo ilikuwa kipindi cha #COVID19, kutarajiwa kufanyika uchaguzi wa nchi hiyo.
#ForYou:PALO ALTO ni Multinational Cyber Security Company, wakali wa firewalls za aina zote, na zimesambaa kote duniani. Makao makuu yake ni Santa Clara, California.
Watalaam @TOTTechs na @JemsiMunisi wanaweza kuielezea zaidi ikiwa ungependa kufahamu hizo "firewalls" ndio nini..
Watalaam @TOTTechs na @JemsiMunisi wanaweza kuielezea zaidi ikiwa ungependa kufahamu hizo "firewalls" ndio nini..
Moja ya malengo makuu ya wadukuzi wanaounga mkono Urusi ni nchi ya Ufaransa na USA #sababu yao ni ile ile, kuchochea kampeni za kuwapinga kwa kivuli cha ukoloni.
Ktk mkutano huo PUTIN alisema "Waafrika kuweni macho na mataifa ya magharibi, wanawaletea ukoloni kwa mara ya pili".
Ktk mkutano huo PUTIN alisema "Waafrika kuweni macho na mataifa ya magharibi, wanawaletea ukoloni kwa mara ya pili".
#MFANO; Mnamo Julai 2018, kesi za mauaji ya waandishi 03 raia wa Urusi waliokwenda kufanya uchunguzi wa shughuli zao ziliripotiwa kutekelezwa na vikosi vya WAGNER.
📌Je! Tajiri wa Urusi YEVGENY PRIGOZHIN anaangalia upeo mwingine?
#Ripoti zinasema watu wa Wagner walionekana mjini Bamako (Mali) mwishoni mwa 2019, wakitaka kuanzisha biashara ili kuweka upinzani na Ufaransa, walisema wataendelea kutoa huduma zile zile walizotoa Afrika ya Kati
#Ripoti zinasema watu wa Wagner walionekana mjini Bamako (Mali) mwishoni mwa 2019, wakitaka kuanzisha biashara ili kuweka upinzani na Ufaransa, walisema wataendelea kutoa huduma zile zile walizotoa Afrika ya Kati
Ufaransa ina wasiwasi zaidi hasa nchi jirani ya Chad.
#Kw7bu Kampuni ya WAGNER imejiimarisha sana huko LIBYA na ipo karibu sana na kiongozi wa nchi hiyo KHALIFA HAFTAR. Zipo taarifa zinasema kampuni hii ya kijasusi tyr imeshaanza kufanya mawasiliano na viongozi waasi wa Chad.
#Kw7bu Kampuni ya WAGNER imejiimarisha sana huko LIBYA na ipo karibu sana na kiongozi wa nchi hiyo KHALIFA HAFTAR. Zipo taarifa zinasema kampuni hii ya kijasusi tyr imeshaanza kufanya mawasiliano na viongozi waasi wa Chad.
Mnamo Mei 30, 2021, wanajeshi 05 kutoka nchini Chad walikamatwa kisha kunyongwa ktk mpaka baina ya nchi hiyo na Afrika ya Kati. Ilisemekana walitekwa na mercenaries wa #Wagner ili kupata taarifa nyeti za serikali ya Idris Deby. Kisha wakawaachia ktk mikono ya waasi na kupelekea.
BILA shaha A, B, C kuhusu kampuni ya #Wagner sasa imeshakuijia
Naam ndio WAGNER wenye kampuni yake PRIGOZHIN swahiba wa Rais Putin.
Imetekeleza matukio kadhaa, na bado inazidi kutanuka. Ktk nchi 39 zilizohudhuria #SochiSummit nchi 12 zimekubali Russia kuleta ulinzi ja vifaa.
Naam ndio WAGNER wenye kampuni yake PRIGOZHIN swahiba wa Rais Putin.
Imetekeleza matukio kadhaa, na bado inazidi kutanuka. Ktk nchi 39 zilizohudhuria #SochiSummit nchi 12 zimekubali Russia kuleta ulinzi ja vifaa.
END___🙏
Nikupongeze uliyefuatilia Uzi kutoka mwanzo mpk mwisho
📜Dondosha comment ikiwa una lolote
SOURCES:
1. Scanner Project @munscanner
2. Scope (scopedata.org)
3. CNN (edition.cnn.com)
For more Threads....
💨 Easy Do It👇
RT🔄 Follow me @Eng_Matarra
Nikupongeze uliyefuatilia Uzi kutoka mwanzo mpk mwisho
📜Dondosha comment ikiwa una lolote
SOURCES:
1. Scanner Project @munscanner
2. Scope (scopedata.org)
3. CNN (edition.cnn.com)
For more Threads....
💨 Easy Do It👇
RT🔄 Follow me @Eng_Matarra
Loading suggestions...