5/Tesla alikuwa hatari sana chuo, aliwachallenge na kuwapiga knockout maprofesa. Aliona vitu vingi vinavyofundishwa kuhusu umeme vimekaa kimichongo.
Mwaka wa kwanza aliPerfome vizuri mno, lkn second year akadropout chuo akaingia mtaani kupambana.
Mwaka wa kwanza aliPerfome vizuri mno, lkn second year akadropout chuo akaingia mtaani kupambana.
7/Huku alikutana na mambo ya telecomm, sio vitu vyake, Tesla ni mtu wa umeme. Lkn ndani ya muda mfupi akaelewa mifumo yote, akaanza kuiformulate vzr na kuleta new ideas and solutions.
Mwaka mmoja tu akawa Chief Technician wa Budapest Telegram. Taarifa za Tesla zikazidi kusambaa
Mwaka mmoja tu akawa Chief Technician wa Budapest Telegram. Taarifa za Tesla zikazidi kusambaa
8/Kampuni ya umeme kubwa zaidi duniani ya Edison Company ikapata taarifa za Tesla, wakampandia dau, wakamchomoa Budapest Telegram na kumwajiri kwenye HQ yao ya Hungary🇭🇺
Akiwa pale alifanya maajabu hadi wakasema huyu dogo hatakiwi kuwa huku uchochoroni, anabidi afikishwe USA🇺🇸
Akiwa pale alifanya maajabu hadi wakasema huyu dogo hatakiwi kuwa huku uchochoroni, anabidi afikishwe USA🇺🇸
11/Tesla alimchallenge sana Edison, because Edison aliinvent Direct Current (DC) - yani umeme unatembea kwenda upande mmoja tu.
Tesla aliamini hiyo ni nonsense, gharama kubwa na sio effective. Akainvent Alternating Current (AC) - yani umeme unaweza kubadili direction kwenda ppt
Tesla aliamini hiyo ni nonsense, gharama kubwa na sio effective. Akainvent Alternating Current (AC) - yani umeme unaweza kubadili direction kwenda ppt
Sijui shida ni nini kwenye kupost lkn part 7 hadi mwisho inaendelea hapa👇🏾👇🏾
Loading suggestions...