Maombi yenye tija na uhakika wa kupata majibu toka kwa Mungu.
1) DHAMBI.
~Baada ya mwanadamu kuasi pale Eden dhambi iliingia ulimwenguni na kila aliyezaliwa alikua na dhambi. Lakini hii haikumaanisha kwamba tukiomba Mungu hatusikii, bali ilimaanisha ili Mungu atusikie....๐๐พ
1) DHAMBI.
~Baada ya mwanadamu kuasi pale Eden dhambi iliingia ulimwenguni na kila aliyezaliwa alikua na dhambi. Lakini hii haikumaanisha kwamba tukiomba Mungu hatusikii, bali ilimaanisha ili Mungu atusikie....๐๐พ
tulipaswa kwanza kutubia makosa na dhambi zetu ndipo tumueleze Mungu matatizo yetu.
๐๐พTwajua ya kuwa Mungu hawasikii wenye dhambi; bali mtu akiwa ni mcha Mungu, na kuyafanya mapenzi yake, humsikia huyo.
โYohana 9:31 SUV
โ
๐๐พlakini maovu yenu yamewafarikisha ninyi na Mungu...๐๐พ
๐๐พTwajua ya kuwa Mungu hawasikii wenye dhambi; bali mtu akiwa ni mcha Mungu, na kuyafanya mapenzi yake, humsikia huyo.
โYohana 9:31 SUV
โ
๐๐พlakini maovu yenu yamewafarikisha ninyi na Mungu...๐๐พ
wenu, na dhambi zenu zimeuficha uso wake msiuone, hata hataki kusikia.
โIsaya 59:2 SUV
โ
(Zaburi 66:18, Amos 5:22-23)
~Hivyo basi kabla hujampelekea Mungu matatizo/shida yako hakikisha mahusiano yenu yako vizuri.
2) KUKOSA IMANI.
Nadhani hii ni miongoni mwa sababu kubwa...๐๐พ
โIsaya 59:2 SUV
โ
(Zaburi 66:18, Amos 5:22-23)
~Hivyo basi kabla hujampelekea Mungu matatizo/shida yako hakikisha mahusiano yenu yako vizuri.
2) KUKOSA IMANI.
Nadhani hii ni miongoni mwa sababu kubwa...๐๐พ
inayofanya watu wasipokee majibu ya maombi yao.
๐๐พ Lakini pasipo imani haiwezekani kumpendeza; kwa maana mtu amwendeaye Mungu lazima aamini kwamba yeye yuko, na kwamba huwapa thawabu wale wamtafutao.
โEbrania 11:6 SUV
โ
~Hapa ni mchezo wa akili yako na nafsi yako juu ya...๐๐พ
๐๐พ Lakini pasipo imani haiwezekani kumpendeza; kwa maana mtu amwendeaye Mungu lazima aamini kwamba yeye yuko, na kwamba huwapa thawabu wale wamtafutao.
โEbrania 11:6 SUV
โ
~Hapa ni mchezo wa akili yako na nafsi yako juu ya...๐๐พ
Mungu unayemuomba na kile unachomuomba. Wakati Yesu alipokuwa anaponya watu, mara nyingi sana aliwaambia โImani yako imekuponyaโ(Luka 17:19) kwaiyo imani ndio msingi wa majibu ya maombi yako kwa Mungu.
~Kiwango cha imani yako ndio kitaamua kiasi cha majibu yako kwa Mungu...๐๐พ
~Kiwango cha imani yako ndio kitaamua kiasi cha majibu yako kwa Mungu...๐๐พ
3) KUKATA TAMAA/KUKOSA UVUMILIVU.
~Kuna wakati unaweza kusikia mtu akisema, nimeomba vya kutosha Mungu hanisikii, labda Mungu hanioni. Kauli zote hizi za kukata tamaa hufanya tushindwe kupokea majibu ya maombi yetu. Habakuki aliambiwa โnjozi ni kwa wakati ulioamriwa, na...๐๐พ
~Kuna wakati unaweza kusikia mtu akisema, nimeomba vya kutosha Mungu hanisikii, labda Mungu hanioni. Kauli zote hizi za kukata tamaa hufanya tushindwe kupokea majibu ya maombi yetu. Habakuki aliambiwa โnjozi ni kwa wakati ulioamriwa, na...๐๐พ
ijapokawia aingojee.
๐๐พHabakuki 2:2-3
~Na muda mwingine majibu yetu yanakuwa yamebeba vitu vikubwa hivyo hukumbana na upinzani mkali, bila kukazana kuomba basi hushindwa kutufikia. Maombi ya Daniel yalizuiliwa kwa siku 21 na mkuu wa anga wa uajemi, kama angekata tamaa basi...๐๐พ
๐๐พHabakuki 2:2-3
~Na muda mwingine majibu yetu yanakuwa yamebeba vitu vikubwa hivyo hukumbana na upinzani mkali, bila kukazana kuomba basi hushindwa kutufikia. Maombi ya Daniel yalizuiliwa kwa siku 21 na mkuu wa anga wa uajemi, kama angekata tamaa basi...๐๐พ
asingepata majibu ya maombi yake.
๐๐พDaniel 10:12-13.
4) KUJIKWEZA/KUJIHESABIA HAKI.
~Kuna baadhi ya watu hujiona kama vile wao ni zaidi ya watoto wa Mungu na wana haki zote na hawana dhambi na ni lazima wapewe kila wanachokiomba. Kama una tabia hiyo, my friend Mungu hatokaa..๐๐พ
๐๐พDaniel 10:12-13.
4) KUJIKWEZA/KUJIHESABIA HAKI.
~Kuna baadhi ya watu hujiona kama vile wao ni zaidi ya watoto wa Mungu na wana haki zote na hawana dhambi na ni lazima wapewe kila wanachokiomba. Kama una tabia hiyo, my friend Mungu hatokaa..๐๐พ
ajibu maombi yako, maana Biblia inasema ajikwezaye atashushwa.
๐๐พLuka 14:11
~Yesu aliwahi kutoa mfano wa mfarisayo na mtoza ushuru, mfarisayo alikihesabia haki alafu mtoza ushuru akajishusha na kujiona mdhambi. Yesu anasema mtoza ushuru alihesabiwa haki kuliko mfarisayo...๐๐พ
๐๐พLuka 14:11
~Yesu aliwahi kutoa mfano wa mfarisayo na mtoza ushuru, mfarisayo alikihesabia haki alafu mtoza ushuru akajishusha na kujiona mdhambi. Yesu anasema mtoza ushuru alihesabiwa haki kuliko mfarisayo...๐๐พ
๐๐พLuka 18:10-14.
5) KUOMBA BILA KUFANYA KAZI.
~Unakuta mtu anaomba Mungu ampe kazi alafu anashinda nyumbani tu bila kutafuta kazi. My friend, Biblia inasema asiyefanya kazi na asile, kwaiyo kama hufanyi kazi hata kama unamuomba Mungu hawezi kukubariki/kukujibu maana Mungu...๐๐พ
5) KUOMBA BILA KUFANYA KAZI.
~Unakuta mtu anaomba Mungu ampe kazi alafu anashinda nyumbani tu bila kutafuta kazi. My friend, Biblia inasema asiyefanya kazi na asile, kwaiyo kama hufanyi kazi hata kama unamuomba Mungu hawezi kukubariki/kukujibu maana Mungu...๐๐พ
anabariki kazi za mikono yetu.
๐๐พZaburi 128:2, 2Thesalonike 3:10
Sasa atabariki nini kama hufanyi kazi?
~Kuna wakati siyo kuomba tu, lazima kuambatane na kutafuta na kubisha, ili uweze kuona na kufunguliwa.
๐๐พ Luka 11:9
6) KUTOSAMEHE.
~Ndiyo! Kutosamehe waliokukosea ni..๐๐พ
๐๐พZaburi 128:2, 2Thesalonike 3:10
Sasa atabariki nini kama hufanyi kazi?
~Kuna wakati siyo kuomba tu, lazima kuambatane na kutafuta na kubisha, ili uweze kuona na kufunguliwa.
๐๐พ Luka 11:9
6) KUTOSAMEHE.
~Ndiyo! Kutosamehe waliokukosea ni..๐๐พ
sababu mojawapo ya kuzuia majibu ya maombi yako. Maana ili Mungu aweze kukusamehe na kukusikiliza inapaswa kwanza uwasamehe wengine kama Yeye anavyokusamehe.
๐๐พ Efeso 4:32, Mathayo 6:12-15
7) KUOMBA NJE YA MAPENZI YA MUNGU.
~Kuomba nje ya mapenzi ya Mungu ni kuomba nje ya...๐๐พ
๐๐พ Efeso 4:32, Mathayo 6:12-15
7) KUOMBA NJE YA MAPENZI YA MUNGU.
~Kuomba nje ya mapenzi ya Mungu ni kuomba nje ya...๐๐พ
utaratibu wa Mungu au kuomba nje ya mipango ya Mungu aliyokuwekea juu ya maisha yako. Utajuaje kama unaomba nje ya mapenzi ya Mungu? ( Tuombe uzima Mungu akinipa kibali nitaandika)
๐๐พ1Yohana 5:14.
8) KUTOAMBATANISHA NA SADAKA.
~Siku hizi ukigusa ishu ya sadaka tu, watu....๐๐พ
๐๐พ1Yohana 5:14.
8) KUTOAMBATANISHA NA SADAKA.
~Siku hizi ukigusa ishu ya sadaka tu, watu....๐๐พ
wanakuwa wakali kama pilipili.๐
๐
Lakini hiyo haiondoi ukweli wa kuwa sadaka ni muhimu sana katika maombi yako.
๐๐พAkupelekee msaada toka patakatifu pake, Na kukutegemeza toka Sayuni. โAzikumbuke sadaka zako zote, Na kuzitakabali dhabihu zako.โ Akujalie kwa kadiri ya haja...๐๐พ
๐๐พAkupelekee msaada toka patakatifu pake, Na kukutegemeza toka Sayuni. โAzikumbuke sadaka zako zote, Na kuzitakabali dhabihu zako.โ Akujalie kwa kadiri ya haja...๐๐พ
ya moyo wako, Na kuyatimiza mashauri yako yote.
Zaburi 20:2-4
~Na ukisoma kwenye Biblia sadaka ni kitu cha lazima, ili kuonyesha utii wako mbele ya Mungu.
Lakini hamaanishi basi ukiambatanisha na sadaka unajibiwa, kumbuka sadaka ya mtu mwovu ni chukizo mbele za Mungu...๐๐พ
Zaburi 20:2-4
~Na ukisoma kwenye Biblia sadaka ni kitu cha lazima, ili kuonyesha utii wako mbele ya Mungu.
Lakini hamaanishi basi ukiambatanisha na sadaka unajibiwa, kumbuka sadaka ya mtu mwovu ni chukizo mbele za Mungu...๐๐พ
๐๐พMithali 15:8
~Japokuwa sadaka ya kwanza ni moyo wako, na ya pili ni Damu ya Yesu. Hivyo kama huna sadaka unaweza tumia hizo mbili na Mungu akajibu maombi yako kwa wakati na bila shida.
9) KUTAKA KUTUMIA KWA TAMAA.
~Wakati mwingine hatupokei majibu ya maombi yetu kwa kuwa..๐๐พ
~Japokuwa sadaka ya kwanza ni moyo wako, na ya pili ni Damu ya Yesu. Hivyo kama huna sadaka unaweza tumia hizo mbili na Mungu akajibu maombi yako kwa wakati na bila shida.
9) KUTAKA KUTUMIA KWA TAMAA.
~Wakati mwingine hatupokei majibu ya maombi yetu kwa kuwa..๐๐พ
lengo letu tukipata ni ili kumtambia fulani, kumuumiza fulani, kufanyia anasa za dunia nk. Sasa ukiwa na nia hiyo moyoni mwako Mungu hakujibu ng'o.
๐๐พYakobo 4:3
10) KUTOMKUMBUSHA MUNGU.
~Kumkumbusha Mungu haimaanishi kwamba Mungu anasahau, bali kuna wakati anapenda Uungu....๐๐พ
๐๐พYakobo 4:3
10) KUTOMKUMBUSHA MUNGU.
~Kumkumbusha Mungu haimaanishi kwamba Mungu anasahau, bali kuna wakati anapenda Uungu....๐๐พ
wake uheshimiwe kwa sisi kumkumbusha ahadi yake kwetu na siyo kukaa tu na kusubiri majibu.
๐๐พUnikumbushe, na tuhojiane; eleza mambo yako, upate kupewa haki yako.
Isaya 43:26
~Huenda maombi yako yako mlangoni pako, ni kiasi tu cha kwenda mbele za Mungu kumkumbusha na...๐๐พ
๐๐พUnikumbushe, na tuhojiane; eleza mambo yako, upate kupewa haki yako.
Isaya 43:26
~Huenda maombi yako yako mlangoni pako, ni kiasi tu cha kwenda mbele za Mungu kumkumbusha na...๐๐พ
kumshukuru nawe utapokea.
๐๐พShukrani sana kwa kuusoma uzi huu, ukikupendeza tafadhali RT kule juu ili ufikie na wengine wapate kujifunza. Ubarikiwe sana.
๐๐พPia unaweza kusoma Nyuzi nyingine nilizoandika kwa kubonyeza link hii hapa chini. ๐๐พ
๐๐พShukrani sana kwa kuusoma uzi huu, ukikupendeza tafadhali RT kule juu ili ufikie na wengine wapate kujifunza. Ubarikiwe sana.
๐๐พPia unaweza kusoma Nyuzi nyingine nilizoandika kwa kubonyeza link hii hapa chini. ๐๐พ
Loading suggestions...