S W A D A K T A.
S W A D A K T A.

@swadakta_

4 Tweets 2 reads Dec 29, 2022
Nimeongea na bimkubwa
"Maisha hayaitaji haraka usiyapaparukie unaweza kuhitaji mafanikio makubwa ukashindwa kuubeba mzingo wake, unaweza ukafanikiwa na kidogo ila ikawa ni faraja ya Maisha yako yote milele"
"Utakula Kutokana na ulichokivuna ridhika na mavuno yako usitamani vikubwa mwanangu anza kwanza na vidogo Mungu atakusaidia"
Hii ni simu Yangu ya Kwanza kwa siku ya Leo ilionipa matumaini. I Love This Womanβ™₯️
Wote tumezaliwa na Mama Bora M/Mungu awatunze Mama zetu kwa niaba yetu pia awarehemu Mama zetu waliotangulia mbele ya HakiπŸ•ŠοΈ
Huu ujumbe ni wetu soteπŸ«€

Loading suggestions...