Kwanza tuangalie kamusi neno dhabihu ni nini?
Dhabihu kwa jina lingine ni “kafara”, zilikuwepo sadaka za kafara na vile vile zilikuwepo zisizo za kafara.
Katika agano la kale, kafara zilizokuwa zinatolewa kwa Mungu ni kafara za wanyama, kama kondoo, mbuzi na ng’ombe.
Dhabihu kwa jina lingine ni “kafara”, zilikuwepo sadaka za kafara na vile vile zilikuwepo zisizo za kafara.
Katika agano la kale, kafara zilizokuwa zinatolewa kwa Mungu ni kafara za wanyama, kama kondoo, mbuzi na ng’ombe.
Ambapo, mtu binafsi au Taifa zima litamsogeza huyo mnyama mbele za Bwana katika hema yake,
na kuhani atamchukua huyo mnyama kama ni ng’ombe,
au mbuzi au kondoo na kumchinja na kutwaa damu yake na kufanya upatanisho kwa huyo mtu au kwa Taifa,
na kuhani atamchukua huyo mnyama kama ni ng’ombe,
au mbuzi au kondoo na kumchinja na kutwaa damu yake na kufanya upatanisho kwa huyo mtu au kwa Taifa,
na kutwaa baadhi ya viungo na kuvichoma juu ya madhabahu.
Sasa sadaka ya namna hiyo ndiyo inayoitwa dhabihu.
Zilikuwepo sadaka nyingine ambazo hazikuwa dhabihu.
Kwamfano sadaka za unga, sadaka za mazao, sadaka za fedha, sadaka za nguo, za malimbuko n.k hizo hazikuitwa dhabihu..
Sasa sadaka ya namna hiyo ndiyo inayoitwa dhabihu.
Zilikuwepo sadaka nyingine ambazo hazikuwa dhabihu.
Kwamfano sadaka za unga, sadaka za mazao, sadaka za fedha, sadaka za nguo, za malimbuko n.k hizo hazikuitwa dhabihu..
Dhabihu ni sadaka ya kafara inayohusisha mnyama kuchinjwa na damu kumwagika.
Leo hii tumezoea kusema “tunaenda kumtolea Bwana dhabihu tukimaanisha sadaka zetu za fedha”..
lakini kiuhalisia hizo sio dhabihu tunazotoa bali ni sadaka tu!. Na zina baraka zake kubwa tu!,
Leo hii tumezoea kusema “tunaenda kumtolea Bwana dhabihu tukimaanisha sadaka zetu za fedha”..
lakini kiuhalisia hizo sio dhabihu tunazotoa bali ni sadaka tu!. Na zina baraka zake kubwa tu!,
MWANZO 4
“Baada ya muda, Kaini alileta baadhi ya mazao ya shambani ili ayatoe kuwa dhabihu kwa Yehova.
4Â Lakini Abeli alileta baadhi ya wazaliwa wa kwanza wa mifugo yake, pamoja na mafuta yao.
Yehova alipendezwa na Abeli na dhabihu yake, 5Â lakini hakupendezwa hata kidogo
“Baada ya muda, Kaini alileta baadhi ya mazao ya shambani ili ayatoe kuwa dhabihu kwa Yehova.
4Â Lakini Abeli alileta baadhi ya wazaliwa wa kwanza wa mifugo yake, pamoja na mafuta yao.
Yehova alipendezwa na Abeli na dhabihu yake, 5Â lakini hakupendezwa hata kidogo
kutoka katika ardhi ambayo imefungua kinywa chake ili kupokea damu ya ndugu yako kutoka mkononi mwako”
Kwa sababu ya Kaini kufanya hivyo juu ya nduguye Mungu alimlaani, lakini bado kaini kati ya uzao wake alizaliwa Enoko aliyeenenda mema na kunyakuliwa na Mungu.
Kwa sababu ya Kaini kufanya hivyo juu ya nduguye Mungu alimlaani, lakini bado kaini kati ya uzao wake alizaliwa Enoko aliyeenenda mema na kunyakuliwa na Mungu.
Loading suggestions...