kama umewekewa tego(wale kawekewa akigonga demu mzigo hausimami😂).
Au kama una majini pia ni nzuri.
Unaweza weka chumvi kwenye hela zako kuzuia chuma ulete(unaweza tumia mkaa au ndulele etc)
Unaweza tumia chumvi kuweka kwenye nyuma yako au pembe za chumba chako kuzuia wachawi
Au kama una majini pia ni nzuri.
Unaweza weka chumvi kwenye hela zako kuzuia chuma ulete(unaweza tumia mkaa au ndulele etc)
Unaweza tumia chumvi kuweka kwenye nyuma yako au pembe za chumba chako kuzuia wachawi
Unaweza tumia chumvi kuweka chini ya kitanda chako kukurahisishia kuwahi kupata usingizi na kutoota ndoto mbaya.
Unaweza tumia chumvi ya mawe kulegeza kifua chako kinachobana kwa kulamba.
Haya ninayoandika ni kwa ufatiliaji wangu tu na sio kwamba mimi ni mganga wala mchawi.
Unaweza tumia chumvi ya mawe kulegeza kifua chako kinachobana kwa kulamba.
Haya ninayoandika ni kwa ufatiliaji wangu tu na sio kwamba mimi ni mganga wala mchawi.
Unakuta umeelezea apa kila kitu afu mtu anakuja DM anauliza yaleyale uliyoandika as if hakusoma au hakumaliza...ukija ntakwambja hilo hadi ulipie😂.
Kama haikufai acha mimi sipo kukuaminisha.
Kama haikufai acha mimi sipo kukuaminisha.
Unaweza mcheki @munno__ anauza chumvi ya mawe nzuri sana kwa matumizi haya au waweza nunua sehemu yoyote ya maduka asilia au masokoni.
Loading suggestions...