Kwa muda mrefu Google walikua wanatafuta njia rahisi Zaidi ya kutumia email akaunti zetu bila kuweka password au kufungua email zetu bila kuandika password.
Ndipo Google wameamua kuleta mfumo mpya wq kuingia kwenye email yako bila kutumia password unatumia Passkey ?? Je Passkey ni kitu Gani ?
Ebu subiri kwani ukini follow utapoteza nini boss 🙄!! Follow basi @Bongotech255 tujifunze maujanja mengi Zaidi
Badala yake utatumia mfumo wa passkey kuweza kuingia kwenye mitandao ya kijamii au kwenye tovuti mbalimbali utatumia ku scan uso , kutumia fingerprint au skrini lock kuingia kwenye akaunti yako bila kutumia password.
Passkey wameweka ili kuwalinda watu dhidi ya uhalifu wa mitandaoni online ivyo inawafanya watu kuwa salama kuliko kutumia Ile njia ya kupokea ujumbe wa code kwa mfumo wa message.
Unaweza kuipata Sasa hii feature kwa kuingia kwenye hii tovuti kupitia Google akaunti yako 👇
g.co utafanya setting zake kwa urahisi sana.
g.co utafanya setting zake kwa urahisi sana.
Itachukua muda kidogo huu mfumo kuanza kutumika moja kwa moja ila kwa Sasa Iko kama option ya kuchagua muhusika utumie Nini passkey au password kwenye email yako
Loading suggestions...