1/4
Dividend Yield ni nini?
Ni uwiano wa kifedha unaowaonesha wawekezaji ni kias gani kampuni inalipa kama gawio kila mwaka ikilinganishwa na bei ya hisa zake
Hesabu hufanywa kwa kugawanya gawio la kila hisa kwa mwaka /bei ya hisa na kuonyesha matokeo kama asilimia
#BabuuHisa
Dividend Yield ni nini?
Ni uwiano wa kifedha unaowaonesha wawekezaji ni kias gani kampuni inalipa kama gawio kila mwaka ikilinganishwa na bei ya hisa zake
Hesabu hufanywa kwa kugawanya gawio la kila hisa kwa mwaka /bei ya hisa na kuonyesha matokeo kama asilimia
#BabuuHisa
2/4
Si lazima Dividend Yield yako ifanane na ya mwingine.. Hii husababishwa na bei ya mwanahisa aliyonunulia hisa zake
Aliyenunua hisa wakati bei zipo chini miaka ya nyuma leo yield yake itakua kubwa tofauti na anayenunua leo
Tazama mfano unaofata kuelewa zaidi
#Babuuhisa
Si lazima Dividend Yield yako ifanane na ya mwingine.. Hii husababishwa na bei ya mwanahisa aliyonunulia hisa zake
Aliyenunua hisa wakati bei zipo chini miaka ya nyuma leo yield yake itakua kubwa tofauti na anayenunua leo
Tazama mfano unaofata kuelewa zaidi
#Babuuhisa
4/4
Ila aliyewekeza leo amelazimika kutumia 5.6 Mil ili kuweza kupata 500k sawa na 9% ya uwekezaji wake.
Hii ndo sababu nashauri kabla hujawekeza hakikisha unawekeza ukiwa na malengo ya muda mrefu na sio kutafuta faida kubwa kwa miezi miwili au mitatu ukaishia kupoteza
Ila aliyewekeza leo amelazimika kutumia 5.6 Mil ili kuweza kupata 500k sawa na 9% ya uwekezaji wake.
Hii ndo sababu nashauri kabla hujawekeza hakikisha unawekeza ukiwa na malengo ya muda mrefu na sio kutafuta faida kubwa kwa miezi miwili au mitatu ukaishia kupoteza
Loading suggestions...