HabariTech

HabariTech

@HabariTech

Ulimwengu wa Teknolojia kiganjani mwako. #HabariTech

Dodoma, Tanzania t.co Joined Jan 2024
16
Threads
51
views
18.3K
Followers
33.4K
Tweets

Threads

⚡️Story kutoka kijiwe cha HACKERS/WADUKUZI Leo tutapita na story za jamaa ambaye alikuwa white hacker. White hacker ni mdukuzi ambaye anafanya udukuzi wa faida na sio kinyume na...

⚡️Kuna vile vichwa vya habari huwa vinasema “Tumia TikTok kutengeneza mpaka $900 kwa mwezi” Au tumia AI kujipatia mkwanja. Sio uongo unaweza kutengeneza pesa, ila sijui kama ni k...

⚡️Roboti ya China iitwayo “ROBOT CHEMIST” imepata njia ya KUTENGENEZA OXYGEN huko Mars. Na inasemekana ingemchukua binadamu miaka 2,000 kufikia hatua hii angefanya yeye mwenyewe....

⚡️Matumizi ya VPN na Ufahamu iwapo SERIKALI na Mtoa huduma wako wanajua kwamba unatumia VPN. Tukitaka kuongelea VPN inabidi tuanzie mbali ili kuelewa nini haswa tunaongelea na umu...

⚡️Usichojua Mtanzania kuhusu X (Twitter) Creators Payouts Mtandao wa kijamii ni nini? Haraka haraka mtu atasema kwanini tuulize hili swali na mwingine atajibu kwamba ni mitandao...

⚡️Unajua kwamba kuna muda ukitafuta kitu google unatangaza namba yako ya simu, location pamoja na email? Bahati mbaya hii sio kitu unaweza kuona na kutambua kwa urahisi. Hii kitu...

⚡5G Inastahili Sifa na Hype Inayopewa? Na Inafanya Vipi Kazi? Tangu kutangazwa kwake 5G imepata attention kubwa sana na kampuni za mitandao zote wanatamani kuwa nayo ili kuvutia w...

⚡️Renewed Vs Refurbished: Wengine wanasema Newly condition. Yana maana gani haya maneno? Ukisikia @NjiwaFLow anasema chapati za dubai. Anaongelea zile simu zilizotoka Dubai. Ukip...

⚡️Google Chrome pop ups, malware & ads zinazojaza Notifications zako zinakera sana. Unaweza kuwa umekaa zako ukaona uwashe data upate notifications za whatsApp au twitter, alafu z...

⚡ Maumivu ya 0kb Malware Niliposoma computer kidato cha kwanza niliambiwa kuna aina kuu 3 za malware. Kuna; Virus, Trojan na Spyware. Malware ni program ambayo inaingia kwenye P...

⚡Zinapofeli Biashara za mtandaoni Kuna umuhimu wa biashara kuwa na uwepo Mtandaoni, lakini umuhimu huu unapotea pale unapotangaza biashara mtandaoni ila unachelewa kufanya Mawasil...

⚡ Programming language za kujifunza kulingana na field za software developers Hapa nitakuandikia aina ya kazi (field) na language unazotakiwa kufahamu ili kufanya hizo kazi. 🧵 ht...