PART 2: #PichaLinaanza
Yaani NATO ni kama jamaa flani ambaye anakuja jirani na nyumba ya kupanga na mkimuuliza amefata nini anasema ni mganga wa kienyeji na ameitwa hapo na mpangaji mwenzenu mmoja,then siku kadhaa mbele yule mpangaji anafariki ghafla ,alafu bado mnamuona jamaa
Yaani NATO ni kama jamaa flani ambaye anakuja jirani na nyumba ya kupanga na mkimuuliza amefata nini anasema ni mganga wa kienyeji na ameitwa hapo na mpangaji mwenzenu mmoja,then siku kadhaa mbele yule mpangaji anafariki ghafla ,alafu bado mnamuona jamaa
#Trustory kama umegundua both marais wa sasa wa Urusi na Ukraine wana hilo jina.Wa ukraine jina lake la kwanza ni Volodymyr na wa Urusi ni VLADMIR so hii nadhani imeanza kukuonyesha kitu Kuhusu hawa watu. So ukiona majeshi ya URUSI yapo ndani ya UKRAINE na mizinga na makomboraπ
inasound kama ni GEOPOLITICS yaani SIASA zinapokutana na JOGRAFIA but hii ni zaidi ya hilo.Kuna issue za kijamii. So PUTTIN anataka nini?Na Kwanini?Ilianzaje?Humu kuna story juu ya story...Inaendelea @eastafricaradio USIKOSE .Kitabu DM au Whats app
Loading suggestions...