#PichaLinaendelea anzia post iliyopita..
CHIMBUKO LA UADUI NA UHASAMA IRAN,SAUDIA NA MAREKANI.
hawakufurahishwaga na uvamizi wa marekani IRAQ kwasabab ulikua unawaweka wote HATARINI especially ujio wa ISIS. Saudia wengi ni wasunni wakati IRAN ni utawala wa SHIA.Lakini nchi
CHIMBUKO LA UADUI NA UHASAMA IRAN,SAUDIA NA MAREKANI.
hawakufurahishwaga na uvamizi wa marekani IRAQ kwasabab ulikua unawaweka wote HATARINI especially ujio wa ISIS. Saudia wengi ni wasunni wakati IRAN ni utawala wa SHIA.Lakini nchi
wawili na wakabadilishana kwa
mahaba ya mafuta.Ghafla Akaibuka mwanaume mmoja,kiongozi wa kidini aliyeheshimika sana IRAN wa
kuitwa Ruhollah Khomeini,nchi za magharibi zinamtambua kama Ayatollah Khomeini,akaona maisha ya kuchuna buzi sio,akapindua serikali ya #Shaa aliyekuwa
mahaba ya mafuta.Ghafla Akaibuka mwanaume mmoja,kiongozi wa kidini aliyeheshimika sana IRAN wa
kuitwa Ruhollah Khomeini,nchi za magharibi zinamtambua kama Ayatollah Khomeini,akaona maisha ya kuchuna buzi sio,akapindua serikali ya #Shaa aliyekuwa
matumbo joto wakijua hizi harakati
zitahamia kwao na zitawang'oa na hapa ushkaji ukafa. So since hapo yamekuwa ni MASHINDANO ya kusambaza misimamo kati ya IRAN(washia)ambao hawataki
kuskia #UTAMADUNI wa marekani ambao huku bongo umetuzalishia
kina #Countrywize
zitahamia kwao na zitawang'oa na hapa ushkaji ukafa. So since hapo yamekuwa ni MASHINDANO ya kusambaza misimamo kati ya IRAN(washia)ambao hawataki
kuskia #UTAMADUNI wa marekani ambao huku bongo umetuzalishia
kina #Countrywize
(a.ka. GADAFI FEKI) wakituambia "BABY TURN UP!" na mambo ya
koneksheni na badala yake WANATAKA misingi ya dini ifuatwe
Upande wa #Saudia wanaona KUTURN UP kidogo si mbaya jmn
lakini msingi ya Uislam ifuatwe.Ndo maana kuna wasanii wa marekani wanaendaga kufanya show Saudia
koneksheni na badala yake WANATAKA misingi ya dini ifuatwe
Upande wa #Saudia wanaona KUTURN UP kidogo si mbaya jmn
lakini msingi ya Uislam ifuatwe.Ndo maana kuna wasanii wa marekani wanaendaga kufanya show Saudia
YEMEN imetoka kuwa nchi ya kuvutia na kihistoria na sasa ni moja ya nchi maskini zaidi mashariki ya kati!Hii ndio nchi ya asili ya OSAMA BIN LADEN.Baba yake OSAMA alikuwa mfanyabiashara kutoka hapa Yemen aliyeenda kuhustle SAUDIA akiwa na kipaji cha Stive #Nyerere
Yemen iliendelea kusuffer zaidi na mwisho wakajua wale #GCC walituyeyusha tu,na ndipo kikaibuka kikundi cha wapiganaji kaskazini mwa Yemen kinajiita HOUTHI(WAHUTHI) wakaanza kukinukisha DHIDI YA serikali ya bwana mansulii.HASHTAG MANSULII ASHUKE JUKWAANI. SO wakamtaka
So ukawa ni mzigo/jukumu la saudia na washirika wake wa GCC kuhakikisha bwana MANSULII anarudi madarakani hata kwa mbinde!Lakini hapa IRAN ilishaanza kutajwa!I told you hawa wahouthi ni WASHIA.....
#PichaLinaendelea post ijayo tunamalizia kabisa.
#PichaLinaendelea post ijayo tunamalizia kabisa.
Loading suggestions...