UKRAINE SAGA PICHA LILIANZIA na moment ya Sapraiz baada za picha satelaiti kunasa umbea kwamba kuna maelfu ya wanajeshi na vifaru,hosipitali za dharura na vitu vingi vinavyotumika uwanja wa vita,vimesogezwa karibu na mpaka wa Ukraine na Urusi.
So Clip zikavuja na matamko yakaanza kutolewa kila pande wa dunia.Uzuri mhusika wana namba yake wakamuendea hewani ,uzuri anapokea simu .“Wee Puttin kichwa ngumu,hao wanajeshi uliosegeza karibu na nduguyo Ukraine unataka kusema unafanya kichen pati ya makombora?”
Puttin akajibu “Acheni wenge wajuba,sisi tunafanya zetu mazowezi,tukimaliza tunarudi nyumbani kulala wala hatuna shida na jirani wala mtoto wa mtu”
Wakamjibu “aaaah,unatuona sisi mabwege eh?” Tangu hapo matumbo joto yakaanza.Juzi taarifa zikavuja kwamba wakati Marekani wamekaa..
kujadili Level ya Vikwazo watavyo muwekea puttin,kati yao walisema wazi kwamba “IT IS NOT GONNA WORK” yaani hawana kikwazo ambacho kweli kinaweza kumkwamisha PUTIN kukamilisha jambo lake.Ulaya inaitegemea Russia pande zote zitaumia kwa ukubwa ambao ni ngumu kuuvumilia muda mrefu.
Lakini ndugu V.PUTTIN akazidi kukanusha tuhuma zozote kwamba anampango wa kuzama HAPO ndichi kwa fasi ya dwasi na kati ya UKRAINE..na kila Marekani na vyombo vyake vya habari walivyo jaribu kuvujisha Umbea wa kinacho endelea mpakani,Puttin na serikali ya Urusi jibu lake likawa 👇
lilelile kama GwajiBoy “Ni wivu tu” .For a while Puttin alifanikiwa kuigawa dunia kimtazamo,wapo walioipuuzia Marekani kabisa. So
kukawa na mkutano mjini GENEVA Uswiz ambao hukutanisha mataifa ya ulaya na north america yaani Marekani na wenzake, huwa wanakutana kuongelea ajenda
mbalimbali lakini kwasababu ya tabia ya ankali PUTTIN kichwa Ngumu,ikabidi mjadala wote wa mkutano huo uwe juu ya Tuna mfanyaje huyu bwana ,maana hatabiriki huyu mwamba. Wakiwa wanajiandaa na mkutano dakika za majeruhi akaibuka ZEE MIPANGO V.PUTTIN mwenyewe the MASTER MIND
sikilizeni nyie machalii mnaoenda kukaa mkutanoni.Nimeona niweke mambo hadharani kama msondo ngoma.Nina mambo 3 nataka myatekeleza CHAP kwa Haraka na sitaki kelele wala mjadala”Wakaona afadhali amekubali ukweli tujue anachotaka ,wakamwambia “Ehe ndugu PUTTIN kichwa ngumu
mambo gani 3 unasema?”Rais Puttin na DEMANDS 3 ambazo alitaka zitekelezwe haraka As SOON as POSIBO.Kwanza NATO niliokuambia ni MUUNGANO WA MAJAMAA WENYE MIJEGEJE wa nchi 30, I stop kujitanua mashariki mwa ulaya.Yaani NO MORE MEMBAZ. Na hapa ndo Ukraine inaingia