NIGERIA ILIVYOFIKA ILIPO,BOKO HARAM,BIAFRA WAR
Sehemu 2
Ushauri wenu tumeupokea na tunaufanyia kazi
#PichaLinaendelea Sasa licha ya tofauti zooote hizo za LUGHA,UTAMADUNI na mfumo wa kiuongozi,haimaanishi hawa
jamaa wamewahi kuchukiana wala kupigana wala kushindwa kuishi pmj
Sehemu 2
Ushauri wenu tumeupokea na tunaufanyia kazi
#PichaLinaendelea Sasa licha ya tofauti zooote hizo za LUGHA,UTAMADUNI na mfumo wa kiuongozi,haimaanishi hawa
jamaa wamewahi kuchukiana wala kupigana wala kushindwa kuishi pmj
Na MKOANI waliona ni ngumu kupata uhuru so ikabidi SOUND itumike
Wakawacheki jamaa wa kaskazni kuwaambia“Wazee mnatuangusha "..Jamaa wa kaskazni HAUSA wakajibu “#MsituambieIvoSisi kwani kuna shida gani kukaa na wenzetu hawa ndugu wakoloni?"
Wakawacheki jamaa wa kaskazni kuwaambia“Wazee mnatuangusha "..Jamaa wa kaskazni HAUSA wakajibu “#MsituambieIvoSisi kwani kuna shida gani kukaa na wenzetu hawa ndugu wakoloni?"
hakuuawa kwasabab wkt tukio linatokea alikuwa nje ya nchi kwaajili ya Holly day.Utajiuliza kwa hiyo ndugu CHUKWUMA ALIFANYAJE? Na hapa ndio rasmi vita ya BIAFRA ikaanza
#PichaLitaendelea post ijayo
Tunapatikana audiomack kwa jina hilihili madinidotcom
#PichaLitaendelea post ijayo
Tunapatikana audiomack kwa jina hilihili madinidotcom
Loading suggestions...