Wakati vita inaendelea UKRAINE na RUSSIA unasikia mengi ,lakini acha tukuletee story ya picha hii unayoona ikupe feeling ya vita ni kitu gani.
Kushoto na kulia ni mtu mmoja, kushoto wanasema he is looking at you na kulia he is loking thru you. #PichaLinaendelea
Kushoto na kulia ni mtu mmoja, kushoto wanasema he is looking at you na kulia he is loking thru you. #PichaLinaendelea
Imagine dogo Ahmed yupoje leo au atakuwepo duniani?Maana hizi picha ilikuwa 2013.Kama yupo hai atakuwa na miaka 17,unahisi ni mtu wa aina gani?sote ni matokeo ya mazingira tuliyozaliwa,je?alichagua? #PRAYforPeace .
Imagine mwamba aligraduate chuo mjini KIEV UKRAINE mwaka 1941 ,Mwezi wa 6 mwaka huo huo ndoto yake ikakatishwa ghafla, 22june1941 serikali HITKER ikaamua kuivamia USSR na hii ndo vita ya 2 ya dunia.So ndoto za vijana wengi ziliishia kama hivi.#PICHALINAENDELEA.
Vita ya pili ya dunia ilimalizika 1945 na HITLER alisha sarenda na mwanetu Evgeny unayemuona hapa alikua bado hai na akatunukiwa tuzo ya bato kadhaa alizopigana.Tho hakupewa tuzo ya ushindi dhidi ya Germany sabab muda wote wa mapigano alikua mateka wa vita..#PICHALINAENDELEA
Hii ni taswira ya nyuma iliyo NDANI ya vita.Atleast inaweza kutuonyesha thamani ya AMANI si ndio? Vita isikie. Kusikia ushuhuda huu msikie hapa
youtu.be
Story hii on youtube
youtu.be
Mwisho: #TaarifaNaMaarifa
youtu.be
Story hii on youtube
youtu.be
Mwisho: #TaarifaNaMaarifa
Loading suggestions...