Tumekaribishwa chakula tumekula sijui ni chakula gani mpaka tunamaliza, sikutaka kukikataa wala kuuliza ni chakula gani ila ki ukweli sijawahi kula chakula cha hivyo tokea nazaliwa sikutaka nimuaibishe jamaa yangu ukweni.
Ile tusharudi kutoka kule nikamuuliza, akaniambia ni michembe.... Ngoma ilikuwa imesongwa ina rangi ya zambarau haina radha kabisa!. Halafu ilibidi mwanaume nimalize.
Yaani nilikuwa nakula kibabebabe tu vitu vipite shingoni.
Yaani nilikuwa nakula kibabebabe tu vitu vipite shingoni.
Tujifunze kuadapt kulingana na tunavobadilisha mazingira, unless otherwise tutaaibika au kuwaaibisha rafiki zetu maana utafutaji huu unajikuta ushachangamana na jamii ambayo hukufikiria maishani mwako kama unaweza kukutana nayo". Anonymous, Mwanza.
#WatuNiStory
#WatuNiStory
Loading suggestions...