Madinidotcom
Madinidotcom

@madinidotcom

4 Tweets 2 reads Dec 08, 2022
Unaanzisha website spesho kwa watu kukutumia habari za siri kuhusu watu binafsi au nchi kisha unazitrendisha.Wewe na wengine mnaamini haufanyi kosa kisa haushiriki direct kuhack au kupata habari hizo,siku moja WANAKUTIA MIKONONI.Hii ni story ya Julian Assange wa #WikiLeaks.
Dunia ilikuwa na bado ipo kwenye mgawanyiko kumhusu blaza Julian lakini USA na UK wameshakubaliana alichofanya ni KOSA KISHERIA, platform yake ilikuwa 'inahamasisha' watu kuvunja sheria. Uwepo wa #Wikileaks ni chanzo cha wahusika waliomvujishia Clip na story kufanya hivyo.
Ankali Juli yupo nyumaYaNondo na mvutano uliopo ni wampeleke USA au abaki sero za UK?Wengi wanaamini akienda USA watamgeuza 'mwenda zake' siku si nyinyi.Dunia imebaki na mjadala JE?JULIAN na WikiLeaks ni wanarakati au kijiwe cha kuhamasisha uhuni na wahuni?Tuambie kwa comment
Kumjua Julian na mchongo wake mzima jipatie kitabu whats app 0712760276 au hii hapa Youtube youtu.be
#PichaLinaanza
Usisahau Leo saa 9alasiri hadi 10jioni tukutane @earadiofm 📌

Loading suggestions...