SAKATA LA BILIONEA JEFF BEZOS NA KING SALMAN WA SAUDIA.
Did you know unaweza kuhack an Iphones? Unafahamu ndicho chanzo cha tajiri namb 1 duniani Jeff Bezos kuachwa na mkewe?unafahamu aliyefanya hilo tukio ni King Salman kiongozi wa Saudi Arabia? #PICHALINAANZA
Did you know unaweza kuhack an Iphones? Unafahamu ndicho chanzo cha tajiri namb 1 duniani Jeff Bezos kuachwa na mkewe?unafahamu aliyefanya hilo tukio ni King Salman kiongozi wa Saudi Arabia? #PICHALINAANZA
Ukiskia INKRIPTED au SEKIYURITI WALL unaweza jiuliza ndo nini?Well,utaelewa soon acha ninukuu sehemu ya taarifa hii kutoka #BBCSWAHILI ya Tar 9november 2019 .
"WhatsApp imeishutumu Kampuni ya NSO Group kwa kuweka programu kwenye simu karibu 1,400 kwa nia ya kufanya upelelezi...
"WhatsApp imeishutumu Kampuni ya NSO Group kwa kuweka programu kwenye simu karibu 1,400 kwa nia ya kufanya upelelezi...
Kuna vimaneno vingi kwa lugha ya yai,lengo likiwa kukuhakikishia kwamba UPO SALAMA na kwamba hata wao Whats app wenyewe,hawana uwezo wa kusoma Meseji zako.Hii inafanyaje kazi?Well,Hii ni teknolojia ambayo iligunduliwa juzi kati.Kuielewa zaidi fuatilia hapa audiomack.com
Kwasabab kwa mujibu wa sheria nyingi duniani ni kitu kisichoruhusiwa kuhack mawasiliano ya mtu yeyote.Yaani kumfuatilia bila yeye kujua.
Wakati story ikiendelea kumbuka inapatikana youtube hapa youtu.be
#PICHALINAENDELEA
Wakati story ikiendelea kumbuka inapatikana youtube hapa youtu.be
#PICHALINAENDELEA
Uwepo wa program kama PEGASUS it means sio njia salama kiivyo.Hata hivyo program za kufanya kazi kama hizi sio hela ndogo.
Mpaka sasa TELEGRAM ndo unaotajwa kama mtandao salama zaidi wa kijamii kwasabab system yao haihifadhi data ya watumiaji popote pale.
Mpaka sasa TELEGRAM ndo unaotajwa kama mtandao salama zaidi wa kijamii kwasabab system yao haihifadhi data ya watumiaji popote pale.
Njia maarufu ni ya meseji(Social enginering hacking) na kuna ile ya kutumia vifaa kama Chaja ya simu,mtu anakubadilishia chaja ya simu,unapewa waya maalum ambao unafanana na chaja yako lakini una kazi zaidi ya hyo.utaelewa zaidi ukifuatilia series yetu👇 audiomack.com
Sakata lenyewe ni hili..
BILIONEA on top 3 ya watu wenye mkwanja duniani, recently baada ya kupata hasara ya 0.7% drop kwenye shares za Amazon ndugu Jeff Bezos,hajakaa vizuri mawasiliano yake yakadukuliwa mpaka ikapelekea kuvunjika kwa ndoa yake na talaka juu.. #PICHALINAENDELEA.
BILIONEA on top 3 ya watu wenye mkwanja duniani, recently baada ya kupata hasara ya 0.7% drop kwenye shares za Amazon ndugu Jeff Bezos,hajakaa vizuri mawasiliano yake yakadukuliwa mpaka ikapelekea kuvunjika kwa ndoa yake na talaka juu.. #PICHALINAENDELEA.
na message zake na mchepuko wake, na ndoa ikaishia hapo .by the way Bi.Mackenzie amepewa pia 4% ya shares za amazon ( natamani nikueleze thamani yake ila go google)Tusije kumuonea gere mama wa watu bure, alishiriki kuzitengeneza na wanasema marekani Talaka ni ghali kuliko harusi.
Bin salman ni mtoto wa kifalme ambaye amekulia kwenye hela na mzee wa MATUKIO kwasababu ameponea chupuchupu kwenye ule msala wa mwandishi wa habari aliyeuwawa ndani ya ubalozi wa Saudi arabia uturuki Jamal Kashoggi.
Kulikuwa kuna mpaka ushahidi wa picha via CCTV.
Kulikuwa kuna mpaka ushahidi wa picha via CCTV.
Kwa kiswahili "kubishana na mwanamke ni kama kusoma vigezo na masharti kwenye software ,mwishoni itabidi uachane na yote na kubonyeza "nakubali"
Picha ya mwanamke iliyokuwa kwenye maneno hayo alikuwa ni mchepuko wa Jeff wa wakati huo na hakuna aliyekuwa anamjua.🧐🤠
Picha ya mwanamke iliyokuwa kwenye maneno hayo alikuwa ni mchepuko wa Jeff wa wakati huo na hakuna aliyekuwa anamjua.🧐🤠
UNGEKUWA JEFF ungefanyaje?🤠Umeona pia BIDEN juzi kasahau mauaji ya Kashoggi na kakutana na MBS sebuleni kwake.Sakata halijaishia hapo.Ifuatilie full story hii youtube . youtu.be
Tulikuahidi #TaarifaNaamaarifa
Tulikuahidi #TaarifaNaamaarifa
Loading suggestions...