Madinidotcom
Madinidotcom

@madinidotcom

25 Tweets 5 reads Dec 08, 2022
KWANINI SIKUMIND GAME OF THRONE VYOISHA?(MATENDO VS NIA ZETU) part1
Wazo la nia njema sio lazima kufikiwa kwa njia njema, so ili taifa kupiga hatua,kinachohitajika ni viongozi wenye NIA NJEMA na wananchi wenye SUBIRA. Huo ni ufupisho wa FUNDISHO unalipata kwenye series hii GOT
(Kama umeiangalia) why?kvp?
Kwanza ChaKuchekesha ni kwamba hii tamthilia/Series ilianza 2011 -2019 ni kati ya maarufu zaidi duniani.Moja ya kiki yake eti inakadiriwa 99% ya population ya dunia walishaangalia angalau episode1 ya GOT ,Trustory  mimi nilikuwa kati 1% iliyobaki!
Kiki iliyopewa GOT ilikuwa zaidi ya UNO by Kondeboy ,but nimeiangalia mwaka jana na sijaona tofauti yyte ya kimaisha kati yangu na waliowahi!Na nipende kutambua uwepo wa wenzangu 1% walioshikilia msimamo mpaka sasa,but ukisoma hapa,may be unaweza kwenda kuicheki tena?Ni kali
Kwa mgeni maeneo haya,nikupe kwa ufupi GameOfThrone ni tamthilia inahusu nini.Well,series ina story kibao ndani yake lkn kiujumla ni story kuhusu maisha ya ULAYA miaka hyo ya Giza,km unaskiaga zama Za Mawe Za Kati (Medieval) ndo maisha hayo sasa.Huku Africa sijui tulikuwaje
Lakini mtu mweusi yupo potrayed humu kama mabaharia, dili nyingi walifanya kusafirisha wahuni wa ulaya,tho mtu mweusi hajaelezewa sana,so ni Igizo la enzi za WAFALME na kulikuwa na kupigania madaraka.Falme nyingi zilianguka tho UINGEREZA ikabaki  hadi leo.
N.b wanaoitwa wamarekani kwa sasa,walitokea ulaya  so #GameOfThrone ni km iliongelea historia ya wamarekani wa sasa pia. Wamarekani wazawa asilia wa Marekani kaskazini ya sasa (Usa) kwa sasa wanawaita NATIVE AMERICANS (Wahindi wekundu) wanaojiita Americans wa sasa,
asili yao wanatokea ulaya,na labda ndio maana GAME OF THRONE ilirelate na wengi. So why naielezea? Tuone..
Tuna wahusika wengi kwenye GOT, lkn  focus kwa JOHN SNOW na bi. Daenerys a.k.a Khaleesi,ndio waliofika mwisho km mastelingi,na cha kujifunza kwao ni kile nilichoanza nacho,
umuhimu wa kuzingatia NIA ya mtu popote,kwa aspect yyte ya maisha,but hapa ilikuwa specific kwenye siasa na uongozi. #JONSNOW kama kiongozi mwenye NIA NJEMA lakini mwenye matendo mabaya,Bi #Khaleesi kama kiongozi mwenye matendo mazuri ila mwenye NIA MBAYA(isiyo nzuri).
Na unfortunately NIA ya mtu ni kitu cha ndani,ila MATENDO ni kitu cha nje,na isivyo bahati binadamu huweza kureact kwa vitu vinavyoonekana(matendo) na jinsi vinavyoonekana pekee,lakini trustory vitu visivyoonekana ndivyo vyenye NGUVU KUU ya matokeo ya YOTE YANAYOONEKANA.
Na tunajifunza pia NIA NJEMA lazima iwe na sababu hasa za kihistoria. Hakuna mtu anaweza kuwa na nia njema na wewe ,kama hakuna 'logic' ya kihistoria ya kumfanya awe na NIA NJEMA.Tukianza na JON SNOW ,picha linaanza ‘Maisha yake tu nyimbo tosha' kama asemavyo ‘Qjay'.
Kwasabab amelelewa kama mtoto wa kahaba(kwa sasa Hawara) wa Baba yake. Na zamani ukiwa mtoto wa hawara huna chako kwenye Ufalme,Ukweli ambao hakujua,huyo aliyemuona kama BABA YAKE ni kaka wa Mama yake (mjomba) ambaye ni kiongozi MKUU WA MAJESHI kwenye serikali ya ufalme.
Kwanini mjomba alimficha na kujifanya Baba wa kambo? Sio lengo la story yetu,#trustory huyu jamaa alikuja akajikuta maisha yameenda akawa kiongozi mkuu wa watu wake katika enzi za Vita dhidi ya jeshi la Wafu(Army of the dead).Wakati taarifa zinafika ni kipindi ambacho binadamu
(Jamii kwa jamii) walikua wanapigana kila dei.JonSnow alishaishi na watu wa chini sana,kutokana na kwamba walimtreat kama mtoto wa hawara Kahaba,ashakuwa mlinzi ,ashafanya mengi na watu wa chini kabisa. So historia yake ni hiyo,na NIA NJEMA aliyokuwa nayo ilitoka hapo.
Then bi #Khaleesi ambaye matendo yake ya mwanzoni yalitofautiana kabisa na Background yake halisi, ni mwanamfalme wa kike ambaye alisafiri kutoka mji wa MBALI alipouzwa kuolewa akiwa dogo,na wakati anapita kila taifa alianza KUFREE WAFUNGWA,kusaidia watu walioteswa na viongozi
wa mataifa yao ,ukumbuke ilikua Medieval age ambapo ustaarabu wa watu ulikuwa chini sana ,hasa ulaya, UBAKAJI,MAUAJI,na UBABE ndo ilikua Sifa kuu ya survive haijalishi wewe ni mwema au mbaya. So #Khaleesi matendo yake tangu mwanzo yalikuwa mazuri sana,
alipendwa na kuonekana mwanga wa ZAMA MPYA.
Kwasababu ya matendo mazuri yaliyoonekana wazi na watu, KalisiiKamaKalisi alisaidiwa kuvuka stage kibao za kimaisha na watu wema wengine,walioamini NIA YAKE kwa kuangalia MATENDO YAKE.Hapa ndo tunajifunza kutenganisha NIA ya mtu vs
MATENDO yake hata kwenye maisha ya kawaida.#JonSnow aliwahi kupigwa visu na kuuawa na watu wake mwenyewe, waliompenda sana kwasababu ya MATENDO YAKE, hawakuwa wanaona NIA YAKE.Kama ujuavyo NIA YA MTU ni kitu cha NDANI SANA.iwe nzuri au mbaya.
Moja ya makosa ya kimatendo aliyofanya #JONSNOW ,kuna jamii ya watu walioishi porini waliitwa Free Folk, or wildlings, Hawa jamaa hawakuwahi kutawaliwa wala kufata sheria za utawala wowote, walikuwa maadui na jamii anayoiongoza JOHN,na miezi michache nyuma,
kilinuka kwa mapigano makali kati yao na watu wengi kwenye imaya ya JonSnow walipoteza Ndugu,wazazi, marafiki,n.k.Ghafla JonSnow situation zikamfanya akaenda kuwaleta wakakaribia ndani ya Imaya yao.
Alikuwa na NIA NJEMA due ya taarifa walizopata za ujio wa JESHI LA WAFU ila tendo alilolifanya ,halikuweza kuvumilika,watu wake wenyewe waliokuwa na NIA NJEMA KABISA na yeye,wakaamua WAMUUE kwa usaliti aliowafanyia kama kiongozi.
So kupitia GOT unagundua NIA YA MTU ndicho kigezo cha kwanza kabisa,kabla ya matendo yake.Lakini NIA ni kitu cha ndani ya mtu na “Kiza kinene" cha #Nandy na #SautiSol.So tutajuaje nia ya mtu? Well,kama mwanzo tulivyoona, lazima kuwe na LOGIC ya kihistoria, haijalishi ni mwema,
anaongea na kutenda mazuri gani,lakini kujua NIA YAKE lazima kuangalia endapo ana LOGIC ya kihistoria inayomfanya kufanya huo WEMA.Hili tunajifunza kwa Bi #Khaleesi ambaye matendo yake YALITUKUKA na alisema anataka kwenda kukomboa ufalme na kuweka usawa,
lakini HISTORIA YAKE haikuwa na LOGIC yoyote ya kwanini alifanya yale.Kivipi?
Khaleesi historia yake ni mtoto wa mtawala wa aliyeitwa MFALME KICHAA(the #MADKING) ambaye hakuonyeshwa kwenye series,ila enzi zake alimiliki viumbe wakubwa waitwao DRAGONS  ambao waliogopwa
So alishikilia na kutawala FALME 7 Kwa miaka yote na alikuwa mshenzi wa kutupwa.Miaka ilienda watu wakajipanga akapigwa chini na madragon yake yakauawa so akapoteza yote na akafa kifo cha aibu.Hakuna aliyempenda yeye wala kizazi chake. So #Khaleesi anatokea kwa huyu mzee na
na aliuzwa(Aliposwa) kwa jamii ya MBALI(Dorthrak) na aliyemuuza  ni KakaYake,lengo ni apate jeshi la kuja kurudisha utawala wa baba yao MADKING akiamini yeye ndo alitakiwa kupokea kijitiChaDingi due ya damu yao ya dragon. Inakuwaje awe na nia njema?
Uko interested?Tunaendelea..

Loading suggestions...