CORONA VIRUS NI KAZI YA MAABARA? WHY CHINA?
.......1978 KUELEKEA 80 Serikali ya China ilinyoosha mikono juu rasmi ‘mwendo wa mateka’, na ikaamua kubinafsisha sekta ya kilimo na ufugaji.
audiomack.com
.......1978 KUELEKEA 80 Serikali ya China ilinyoosha mikono juu rasmi ‘mwendo wa mateka’, na ikaamua kubinafsisha sekta ya kilimo na ufugaji.
audiomack.com
Soko lilipokuwa kubwa
huku serikali ikiwa kwenye hali mbaya kiuchumi wakaona kumbe ‘’ Mambo iko huku’’ Serikali ya ikaanza kuwahimiza wananchi kufuga chochote wanachohisi kitawaletea faida
audiomack.com
huku serikali ikiwa kwenye hali mbaya kiuchumi wakaona kumbe ‘’ Mambo iko huku’’ Serikali ya ikaanza kuwahimiza wananchi kufuga chochote wanachohisi kitawaletea faida
audiomack.com
leo tunasalimiana kwa miguu dunia nzima.Huku wanasema Chanjo imefika #UjanjaKuchanja,wale wengine wanasema USITUAMBIEivoSisi...
Mpaka miaka ya 2000 SOKO la nyama china lilikuwa limejaa wanyama pori kama Chui,kaka kuona ,faru n.k na km utakumbuka mataifa mengi miaka hii yalikuwa
Mpaka miaka ya 2000 SOKO la nyama china lilikuwa limejaa wanyama pori kama Chui,kaka kuona ,faru n.k na km utakumbuka mataifa mengi miaka hii yalikuwa
yanapambana na UJANGILI ikiwemo 🇹🇿 .Soko kubwa lilikuwa china.kama ni mfutiliaji NEWS utakuwa ‘ushakutanaga’ na hizi story, na hata kuna Yule mama alikamatwa Tanzania anaitwa MALKIA WA PEMBE ZA NDOVU naye anatoka china.
audiomack.com
audiomack.com
So industry ya Nyamapori ilikuwa na pesa nyingi kwasababu china ina watu wengi na ni nchi tajiri ,wana order za kutosha lakini sasa ndo hivyo wanatuletea magonjwa ya ajabu ajabu na hatuwezi kuwazingua
kwamba "
Story kamili inapatikana jijini Youtube youtu.be
kwamba "
Story kamili inapatikana jijini Youtube youtu.be
Loading suggestions...