KWANINI URUSI AMEICHUKUA CRIMEA??.UTAJIULIZA why crimea?
Well ,Hii KREMIA kamaKREMIA ni PENUNSULA yaani ukisikia PENUN-SULA ni eneo la ardhi ambalo limezungukwa na maji sehemu zote isipokuwa upande mmoja ambao limeshikana na ardhi,
audiomack.com
Well ,Hii KREMIA kamaKREMIA ni PENUNSULA yaani ukisikia PENUN-SULA ni eneo la ardhi ambalo limezungukwa na maji sehemu zote isipokuwa upande mmoja ambao limeshikana na ardhi,
audiomack.com
haimaanishi maji ni mekundu. Black ni NORTH na RED ni south, kama hujaelewa sana wala isikuchoshe,ichukulie kama jina,ni bahari ipo katikati mwa ulaya na Asia .Hii Creamia ilikuwa sehemu ya URUSI yaani wao ndio waliikomboa enzi hizo wanajitanua
audiomack.com
audiomack.com
MWAKA 1954 ALIYEKUWA rais wa UMOJA WA SOVIET wakati huo ANKALI NIKITA KHRUSHCHEV (tamka krush-chev) aliamua kusema CREAMIA iwe sehemu ya UKRAINE kama ishara ya brother hood aliita “brotherly ties(tamka bradhali taiz) between the Ukrainian & Russian people”
Cremia na Ukraine zilikuwa sehemu ya taifa moja USSR so haikuwa na impact yoyote ni kama tunavyogawa mikoa na kuhamisha wilaya hii kuweka mkoa nyingine. 1991 Ukraine ilivyojitangazia uhuru baada ya USSR kuvunjika CREMIA ikajiunga nao.
audiomack.com
audiomack.com
lkn wakakubaliana kuheshimu sheria na uhuru wa Cremia kama eneo huru la UKRAINE.
Kweli waliheshimiana hadi 2014 wakati rais victor alipotoa boko akajiuzulu na watu zaidi ya 100 wakafa kwenye maandamano, UKRAINE ikarudi upande wa marais walioside na ulaya. audiomack.com
Kweli waliheshimiana hadi 2014 wakati rais victor alipotoa boko akajiuzulu na watu zaidi ya 100 wakafa kwenye maandamano, UKRAINE ikarudi upande wa marais walioside na ulaya. audiomack.com
Ndipo wanajeshi wa Urusi waliokuwa Cremia wakazingira ofisi zote na majengo ya serikali na kifupi ulikuwa wakati wa kuibeba iPHONE yao maana mwali mwenyewe kaponyoka.
audiomack.com
audiomack.com
Loading suggestions...