MFAHAMU ‘Bruce Reynolds’ MASTERMIND WA TUKIO LA ‘Great Train Robbery’.
SEHEMU YA KWANZA
#UZI
💨Sijui kama unalikumbuka au kama umeshawahi kusikia kuhusu tukio la Mwaka 1963 la ‘Great Train Robbery’ ambalo linatajwa kama moja ya “Britain's largest robber”.
SEHEMU YA KWANZA
#UZI
💨Sijui kama unalikumbuka au kama umeshawahi kusikia kuhusu tukio la Mwaka 1963 la ‘Great Train Robbery’ ambalo linatajwa kama moja ya “Britain's largest robber”.
Kisha familia nzima ya Mzee Thomas ikahamishia Makao yake kule Gants Hill, London Mashariki.
Lakini baadae kidogo, Bruce akaona maisha chini ya Mzee wake Pamoja na Mama Wa Kambo kama yanataka kumshinda hivi, akaona ni bora hata akaishi na moja ya bibi zake.
Lakini baadae kidogo, Bruce akaona maisha chini ya Mzee wake Pamoja na Mama Wa Kambo kama yanataka kumshinda hivi, akaona ni bora hata akaishi na moja ya bibi zake.
Kipindi yupo hapo kwenye kazi yake ya sasa, ndipo alipoanza tabia ya udokozi dokozi.
Akaiba iba hapa na pale, na kisha kuwachoropoka polisi mara kadhaa, lakini baadae kidogo aliweza kukamatwa na kuswekwa lupango.
Akaiba iba hapa na pale, na kisha kuwachoropoka polisi mara kadhaa, lakini baadae kidogo aliweza kukamatwa na kuswekwa lupango.
Mwaka 1952, Akakaa Nyuma ya nondo za gereza la Wandsworth Prison Pale London.
Baada tu ya kutoka, akahusishwa kwenye tukio fulani la wizi wa vito vya thamani vya fedha nyingi sana.
Mwaka 1957, akakamatwa tena, mara hii akihusika kwenye wizi wa zaidi ya £500 kutoka pale…
Baada tu ya kutoka, akahusishwa kwenye tukio fulani la wizi wa vito vya thamani vya fedha nyingi sana.
Mwaka 1957, akakamatwa tena, mara hii akihusika kwenye wizi wa zaidi ya £500 kutoka pale…
Mara hii baada tu ya kutoka jela, akajiunga na kundi la kihalifu, ambalo lilikuwa na yeye, rafiki yake wa muda mrefu Harry Booth na mtu kama John Daly.
Kisha Jimmy White na Buster Edwards wakatia timu kundini, na kisha wakakutana kwenye Club moja ya mchizi wao Charlie Richardson
Kisha Jimmy White na Buster Edwards wakatia timu kundini, na kisha wakakutana kwenye Club moja ya mchizi wao Charlie Richardson
Huyo Charlie Richardson akamu-introduce Mwanetu Bruce kwa Mchizi aitwaye Gordon Goody.
Kwa Kiasi fulani, Kundi lilikua limeshakamilika , na kilichokuwa mbele yao utekelezwaji wa matukio ya wizi tu.
Kwa Kiasi fulani, Kundi lilikua limeshakamilika , na kilichokuwa mbele yao utekelezwaji wa matukio ya wizi tu.
Upande wa pili, Bruce alikuwa ameanza Mipango ya tukio la Miezi mitatu mbele, la kutekeleza wizi wa kama £2,631,684 (equivalent to £58 million today).
Hakuna Kilichokuwa kikifuata mbele yake, zaidi ya mpango huo kuwashirikisha wenzake katika kundi hilo.
Hakuna Kilichokuwa kikifuata mbele yake, zaidi ya mpango huo kuwashirikisha wenzake katika kundi hilo.
Mpango mzima ulianza kutekelezeka baada ya Bruce na genge lake kufanikiwa kumpata mmoja kati ya senior security officer wa treni hiyo, ambaye alikuwa na taarifa kamili kuhusu wapi treni itapita!!? Lini!!? Saa ngapi!!? Na itakuwa na Pesa kiasi gani!!?
…. Bob Welch, na Jim Hussey ambao hao walikuwa na wataalamu wa matukio mazima ya Wizi wa Mali zilizokuwa zikisafirishwa kwa Treni.
Katika Hili Group la The South Coast Raiders kulikua na mwamba Mmoja alikuwa anaitwa
Roger Cordrey,
Katika Hili Group la The South Coast Raiders kulikua na mwamba Mmoja alikuwa anaitwa
Roger Cordrey,
Loading suggestions...