James Munisi

James Munisi

@NjiwaFLow

Creator & Innovator | Electronics & Telecom Engineer | Business Administrator | 1+1=11 | All about Techs | Founder @Njiwa_Store | We are @TOTTechs |#SimuZaNjiwa

Dar es Salaam, Tanzania t.co Joined Feb 2025
103
Threads
110
views
190.7K
Followers
111.0K
Tweets

Threads

#UZI | marudio πŸ’¨ KAZI YA RAM KWENYE SIMU Swali linaulizwaπŸ‘‡ - Kwanini iPhone ina 4GB RAM alafu simu yenye Android 16GB RAM ila iPhone bado ipo kasi? - RAM zinavyozidi kuwa nyingi n...

πŸ’¨ Jana kuna mtu aliomba aletewe uzi wa kubadili Document (PDF) kwenda kwenye Microsoft word! Nikaona, Kwa nini nisimbless Mwana! Yawezekana sio yeye pekee ambaye hajui labda kun...

πŸ’¨ Jana nilipata shida sana ya kumuelekeza Mtu namna ya Ki-sign documents (PDF) Kwenye simu! Kwa sababu alikua mbali, ikanibidi bitumie Whatsapp screensharing kumuelekeza! But Mwi...

πŸ’¨ Kandri miaka inavyozidi kuenda simu zinatoka mpya na bora zaidi. Ambapo makampuni ya simu huboresha na kubadili karibia kila kitu kadri miaka inavyozidi kwenda!. Mabadiliko h...

πŸ’¨ Sikuhizi Whatsapp imekuwa kama Diary au Notebook yangu. Yani wazo lolote au kitu chochote cha kuwafundisha likinijia nalihifadhi whatsapp. Watu watauliza whatsapp inawezaje juw...

πŸ’¨ Miezi iliyopita niliwapa taarifa kuwa whatsapp wanawaletea feature ya ku-share screen kwenye whatsapp. Feature hiyo inawawezesha mtumiaji wa simu kumuelekeza mwenzie juu ya kit...

πŸ’¨ Nimepokea habari hizi kwa Masikitiko Makubwa sana! Whatsapp wametangaza kuwa Backup za data za Whatsapp, Hii inahusisha ~ Picha ~ video ~ Chats, zako za Whatsapp kwenye Google...

πŸ’¨ Leo nilikuwa na mtu anatumia Whatsapp Gb, baada ya kusoma ule uzi wangu wa jana akaniambia kuwa, Miongoni mwa sababu zinazomfanya atumie Whatsapp Gb ni kuangalia status bila kuo...

πŸ’¨ Baada ya kupost post ya Jana, nikajua kuwa watu wanatakiwa kupewa hili somo! Mimi mpaka sasa nashangaa!!, Mpaka sasa kwa nini watu bado wanatumia Mods whatsapp? Mwanzoni, saba...

πŸ’¨ Miezi iliyopita niliwapa taarifa kuwa kwa sasa Whatsapp wameruhusu kutumia account zaidi ya moja kwenye Whatsapp. Watu walikuwa wananiuliza Unawezaje? Leo nitakufundisha namn...

πŸ’¨ Jana niliwaelekeza namna ya ku-record screen ya laptop au Computer kwa kutumia Microsoft Power Point!. Kama utakuwa hujausoma huo uzi, nenda uko kwenye Highlights za timeline y...

πŸ’¨ Yawezekana ukawa unataka kurecord screen ya Computer au laptop yako ili uweze kumuelekeza mtu kitu flani kutoka kwenye computer! Maybe, unataka utoe lecture ya kutu flani utawez...