2.Kasula nyeupe huonyesha ushindi pia huvaliwa katika sikukuu za kikanisa au sherehe za Kanisa mfano Noeli,Pasaka n.k.
3.Kasula ya zambarau au urujuani huvaliwa wakati wa msiba, kipindi cha kwaresma na majilio huonyesha huzuni au toba.
4.Kasula nyekundu huonyesha ishara ya moto na mateso na pia ni ishara ya upendo. Huvaliwa katika siku za ijumaa kuu, Pentekoste, Dominika ya matawi.
4.Kasula nyekundu huonyesha ishara ya moto na mateso na pia ni ishara ya upendo. Huvaliwa katika siku za ijumaa kuu, Pentekoste, Dominika ya matawi.
na pia sikukuu ya mashaidi au wafia dini huonyesha damu iliyomwagika kwa ajili ya KRISTO pia katika sikukuu za Mitume.
Loading suggestions...