MAJARIBIO 06 YA KUMUUA ADOLF HITLER—AMBAYO HAYAKUFANIKIWA.
#UZI
💨Imekuwa ikiripotiwa katika vyanzo kadhaa vya habari kwa muda sasa kuwa, April 30 ya mwaka 1945, ndiyo siku ambayo mwili na roho ya Adolf Hitler vilitengana akiwa pale Führerbunker, Berlin.
#UZI
💨Imekuwa ikiripotiwa katika vyanzo kadhaa vya habari kwa muda sasa kuwa, April 30 ya mwaka 1945, ndiyo siku ambayo mwili na roho ya Adolf Hitler vilitengana akiwa pale Führerbunker, Berlin.
💨Inaaminika, mwamba Hitler alifayafikia maamuzi ya kuuondoa uhai wake baada ya kuona kuwa hakukuwa na uwezekano wa vikosi vyake kushinda katika ile ‘Battle of Berlin’. Hivyo kama kiongozi aliyekuwa na maono ya kuanzisha ‘Nazi Empire’ aliona hakukuwa na faida za yeye kuishi tena
1. The Munich Beer Hall Melee Attempt.
💨 Hili ndilo lilikuwa shambulio la kwanza la kujaribu kuuondoa uhai wa mwamba Adolf Hitler, na lilifanyika miaka kama 20 hivi kabla ya vita ya pili ya dunia kupamba moto.
💨Nov 1921, ikiwa ni miezi kadhaa baada ya kuundwa kwa ‘Nazi Party’,
💨 Hili ndilo lilikuwa shambulio la kwanza la kujaribu kuuondoa uhai wa mwamba Adolf Hitler, na lilifanyika miaka kama 20 hivi kabla ya vita ya pili ya dunia kupamba moto.
💨Nov 1921, ikiwa ni miezi kadhaa baada ya kuundwa kwa ‘Nazi Party’,
ila kwa bahati nzuri hakudhurika, na kisha shambulio hili liliendelea kimpa-mileage zaidi kwasababu watu walikuwa hawamfahamu Hitler kwa ukubwa huo hapo awali, ukizingatia hata chama chake cha Nazi kilikuwa bado ni kichanga, na hakikuwa na misuli imara ya kisiasa.
💨Hivyo, alilichukulia jukumu la kummaliza Hitler kuwa kama ni kazi yake ya kutekeleza maagizo ya kiroho anayoyasikia ndani mwake.
💨Maurice alipata nafasi hio November ya mwaka 1938, ambapo Hitler na wa-Nazi wengine walikuwa wakienda Beer Hall kwaajili ha hafla ya kukumbuka,
💨Maurice alipata nafasi hio November ya mwaka 1938, ambapo Hitler na wa-Nazi wengine walikuwa wakienda Beer Hall kwaajili ha hafla ya kukumbuka,
…kukoswa kwao kuuawa.
💨Alijitahidi kukaa sehemu nzuri kwa ajili ya kutekeleza azma yake hio, ila mazingira hayakuwa rafiki kwake. Na katika kughairi kwake na kisha kuondoka, alistukiwa na baadhi ya askari wa Hitler, wakati akijaribu kupanda treni.
💨Alijitahidi kukaa sehemu nzuri kwa ajili ya kutekeleza azma yake hio, ila mazingira hayakuwa rafiki kwake. Na katika kughairi kwake na kisha kuondoka, alistukiwa na baadhi ya askari wa Hitler, wakati akijaribu kupanda treni.
💨November 1938, Elser alitegesha bomu pale pale, ‘Beer Hall’ ambapo Hitler alikuwa na ratiba ya kwenda kuhutubia wananchi wake, katika halfa ya kuenzi ile ‘Beer Hall Putsch’.
💨Kwa bahati nzuri, Hitler aliwahi kumaliza hotuba yake, na kisha akaondoka mapema, kabla ya mlipuko.
💨Kwa bahati nzuri, Hitler aliwahi kumaliza hotuba yake, na kisha akaondoka mapema, kabla ya mlipuko.
💨Bomu lililokuwa limetegeshwa na Elser ndani ya Beer Hall, lililipuka dakika 13 baada ya Hitler kuondoka, likiishia kuua watu nane na kujeruhi baadhi.
💨Elser alikamatwa wakati akijaribu kukimbilia Swiss, na kisha aliuawa mwaka 1945, mda mfupi kabla ya ukomo wa WWII.
💨Elser alikamatwa wakati akijaribu kukimbilia Swiss, na kisha aliuawa mwaka 1945, mda mfupi kabla ya ukomo wa WWII.
katika maeneo kadhaa ya Jiji la Berlin na kumuonesha silaha ambazo zilikuwa zimekamatwa kutokea Urusi.
💨Mapango uliokuwepo ni wa Rudolf kutembea na briefcase ambayo ingekuwa na bomu, ili pindi amtembezapo Hitler ajitoe mhanga, ili wafe wote.
💨Mapango uliokuwepo ni wa Rudolf kutembea na briefcase ambayo ingekuwa na bomu, ili pindi amtembezapo Hitler ajitoe mhanga, ili wafe wote.
💨Baada ya taarifa kuenea kuwa kulikuwa ni shambulio la afisa usalama kuwa tayari kujitoa mhanga kwaajili ya kumuonda Hitler madarakani, wenye kuusoma upepo walimshauri Hitler kuwa, afanye kuimaliza tu vita na hata kuachia madaraka kiroho safi.
💨Ila kibishi mwanenu akakaza😁🤝
💨Ila kibishi mwanenu akakaza😁🤝
💨Likini wakawaiwa wao, Claus akakamatwa yeye pamoja na wenzake na kisha kuuawa kwa kupigwa risasi.
💨Haya mashambulio mawili ya mwisho (5 na 6) yalikuwa ni taarifa nzito sana kwa Hitler na waliokuwa nyuma yake. Na kuanzia hapo inasemekana kasi ya uongozi ya Hitler ilianza,
💨Haya mashambulio mawili ya mwisho (5 na 6) yalikuwa ni taarifa nzito sana kwa Hitler na waliokuwa nyuma yake. Na kuanzia hapo inasemekana kasi ya uongozi ya Hitler ilianza,
kupungua, kuonekana kwake mitaani na hata sehemu zake za kiofisi kukawa ni kwa nadra sana, kabla ya kujifyatulia risasi April 30 ya mwaka 1945.
💨Pumzika Führer, Adolf Hitler.
💨Pumzika Führer, Adolf Hitler.
Loading suggestions...