kadhaa wakaokolewa wakiwa wazima, huku makampuni tofauti yakijitokeza kuchunguza sababu za kuzama kwa meli hiyo..
Na zaidi swala la kuyapata mabaki ya meli hiyo likabaki kitendawili.
Miaka ikakatika na ilipofika Septemba 1985 kwa mara ya kwanza mabaki ya meli ya TITANICπ
Na zaidi swala la kuyapata mabaki ya meli hiyo likabaki kitendawili.
Miaka ikakatika na ilipofika Septemba 1985 kwa mara ya kwanza mabaki ya meli ya TITANICπ
Na ili kuwaaminisha wateja wake STOCKTON RUSH katika safari zote yeye mwenyewe pia alikuwa anaenda mpaka yalipo mabaki ya meli ya TITANIC kisha wanarudi pamoja.
Baada ya kufanya dhiara hizo za utalii mfanyakazi wake alihoji ni Vipi ikiwa siku chombo kitapata ajaliπ
Baada ya kufanya dhiara hizo za utalii mfanyakazi wake alihoji ni Vipi ikiwa siku chombo kitapata ajaliπ
Madhubuti kwa ajili ya uokoaji haraka iwezekanavyo kabla ya kuendelea kufanya ziara za utalii huo.
Alihoji sana mwisho akawa kero kwa bosi akafukuzwa kazi..
Baada ya kufukuzwa kazi bado akawa anawasihi wafanyakazi wa kampuni hiyo wamuhoji Bosi wao kuhusu hilo.π
Alihoji sana mwisho akawa kero kwa bosi akafukuzwa kazi..
Baada ya kufukuzwa kazi bado akawa anawasihi wafanyakazi wa kampuni hiyo wamuhoji Bosi wao kuhusu hilo.π
kupiga mbizi Mfaransa"
Shahzada Dawood
"mfanyabiashara mashuhuri wa Pakistani"
Suleman Dawood
"mtoto wa Shahzada Dawood mwenye umri wa miaka 19"
Bahari ni kiza kinene.
#RIP
Stay safe kwa ground mambo ni mengi sanaπ
Usiache kunifollow as @wisdomjaykwa #wisdomjaykwa
Shahzada Dawood
"mfanyabiashara mashuhuri wa Pakistani"
Suleman Dawood
"mtoto wa Shahzada Dawood mwenye umri wa miaka 19"
Bahari ni kiza kinene.
#RIP
Stay safe kwa ground mambo ni mengi sanaπ
Usiache kunifollow as @wisdomjaykwa #wisdomjaykwa
Loading suggestions...