Ee MUNGU Baba tunakuja tena mbele yako kuomba ulinzi wako usiku huu, utulinde na maadui zetu, Damu ya Yesu Kristo Bwana wetu iliyomwagika pale Msalabani itufunike.
Pia tunawaombea Marehemu wetu wote pumziko la Milele.
Tunaomba hayo kwa njia ya Bwana wetu Yesu Kristo. Amina.
Pia tunawaombea Marehemu wetu wote pumziko la Milele.
Tunaomba hayo kwa njia ya Bwana wetu Yesu Kristo. Amina.
Loading suggestions...