Kwa hiyo nakuomba ee Bwana unisaidie kuchagua kwa hekima, nipate mchumba mwema, safi na mwaminifu, nifuate zaidi uzuri wa roho kuliko wa uso, zaidi tabia njema kuliko umaridadi.
Mioyo yetu iwe ya kulingana, na nia zetu zipatane, tupate kuishi pamoja na amani na kulea jamaa zetu kwa kukuheshimu wewe na baraka zako Amina.
radiomaria.co.tz
#RadioMariaTz
radiomaria.co.tz
#RadioMariaTz
Loading suggestions...