Kwa hiyo nakuomba ee Bwana unisaidie kuchagua kwa hekima, nipate mchumba mwema, safi na mwaminifu, nifuate zaidi uzuri wa roho kuliko wa uso, zaidi tabia njema kuliko umaridadi.
#RadioMariaTz
#RadioMariaTz
Mioyo yetu iwe ya kulingana, na nia zetu zipatane, tupate kuishi pamoja na amani na kulea jamaa zetu kwa kukuheshimu wewe na baraka zako Amina.
radiomaria.co.tz
radiomaria.co.tz
Loading suggestions...